kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Juzi Katibu Mkuu utumishi aliagiza kwa mara nyingine tena kurekebisha barua za watumishi waliopandishwa madaraja 2015/2016 .Mwaka 2017 Katibu Mkuu aliagiza barua zirekebishwe kuanzia Novemba 2017 lakini Mishahara haikurekebishwa.Mwezi march 2018 Katibu Mkuu Utumishi wametoa tena waraka kuwa barua hizo zisomeke April 2018.Nadhani ni busara AGIZO hilo kuyatekeleza kwani linawakatisha tamaa Watumishi.