katika maisha yangu ya kupanga nyumba sijawahi kuhama usiku kwaio kama hio yakuhama usiku ni kanuni basi ntakuwa nmeenda kinyume. mara nyingi huwa nahama muda wa asubuhi . nakumbuka siku moja wakati nataka kuhama nikafika stand ya gari iliyokuwa karibu na nilipokuwa naishi nkawa naongea na...
bila shaka dereva alikuwa anaenda zaidi ya speed elekezi na wanyama hao walikuwa wakivuka barabara kwa makundi hivyo kuwa vigumu kwao kuihama barabara upesi nakujikuta wakishangaa taa na honi za gar katikat ya lami. laa cvyo suka atakuwa na shabaha ajabu...ingekuwa ajari ya ndege tungetafuta...
siasa ni rahisi na tamu ukiwa mwadilifu. japo wanasiasa waadilifu huwa na maisha mafupi kuliko wale wa mediocre type. hivyo ukitaka kuruka agana na nyonga kwanza manake waeza dondokea pua badala ya kisigino
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.