Recent content by Mzukulu

  1. Mzukulu

    Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa

    Kwani Kumpokea Mtanzania Mwenzetu ambaye tena aliondoka nchini kwa Matatizo ambayo yametokea ndani ya Tanzania hii hii ni Dhambi Ndugu?
  2. Mzukulu

    Inakuwaje Mtangazaji asiyejikomba kwake Bakari Msulwa wa TBC kateuliwa kuwa DC, lakini Mwenzake wa Kujikomba Hassan Ngoma wa Clouds 360 kasahaulika?

    Mbona ameshanipa tayari 10% yangu kwani Wewe unaweza kudhani kama nilikuwa namkandia lakini kumbe ndiyo nilikuwa nampaisha Kuteuliwa.
  3. Mzukulu

    Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

    Kabla sijakujibu naomba Kwanza kujua kutoka Kwako Wewe neno Uswahilini umelielewaje labda?
  4. Mzukulu

    Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

    Kukuambia Uswahilini kamwe sikumaanisha kuwa ninaudharau ila nimemaanisha kuwa unachezwa hasa na Waswahili ila Kwingineko hawauchezi.
  5. Mzukulu

    Tetesi: Lissu atawekewa zengwe asigombee Urais

    Kwani tukiachana tu na sijui Yeye kuwekewa hilo Zengwe ila Kiuhalisia kabisa unadhani hata kama akigombea kwa hali ilivyo sasa nchini atashinda?
  6. Mzukulu

    Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

    Sasa ulikuwa unachelewa nini Kukubali tu kuwa ulikuwa umekosea kusema Kombolera badala ya Kombolela hadi umesubiri nimekutia Adabu hivi?
  7. Mzukulu

    Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

    Naendelea Kusisitiza ni Kombolela na siyo Kombolera. Swine.
  8. Mzukulu

    Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

    Hakuna neno la Kombolera katika Lugha ya Kiswahili bali kuna neno sahihi na sanifu kabisa la Kombolela. Pumbavu.
  9. Mzukulu

    Wewe Kada Mwandamizi wa hapo CCM Ofisi Ndogo Lumumba uliyehoji kwanini simkubali Hussein Mwinyi haya ni Majibu yangu Kwako

    Kwahiyo ulitaka nipingane na nisiyaheshimu Maamuzi ya Wapiga Kura 129 na hizo 78.65% alizozipata Mwinyi na nikufurahishe Idiot Mmoja Wewe?
  10. Mzukulu

    Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

    Baba yako atakuwa Rais halafu Mama yako atakuwa Makamu wake. Una Swali lingine tena?
  11. Mzukulu

    Je, viongozi wetu ni 'Smart Upstairs' kiasi gani?

    Samahani Mshana Jr hii ndiyo ID yako nyingine au?
Back
Top Bottom