Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Its so sad. So pathetic. Kwamba Africa sisi bado sana katika Africa yetu tumeamua kuipa SIASA thamani kubwa kuliko taaluma hivyo basi SIASA ina nguvu kubwa sana KULIKO taaluma na ndio inayotuamulia mustakabali WETU. Politic
Kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa kisiasa ndio kinafikia tamati hivi karibuni. Je, tuna nini cha kujivunia kama taifa? In terms of uwezo na UTHUBUTU wa kutenganisha SIASA na TAALUMA?
Sioni matumaini bali naona kujikomba, naona kujipendekeza, naona kujitoa ufahamu, naona kujikataa utu binafsi, nauona woga na hofu, naona kinyaa na aibu ya watu wazima na elimu zao na familia zao na utu wao wakiwa wala matapiko na walamba viatu vya wakubwa kisa tu wapate teuzi za nafasi za kisiasa.
Its so pathetic. Kwamba hata forums nyingi kwa sasa hazina mijadala mingine zaidi ya hizi chaguzi za kisiasa
Jr
Kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa kisiasa ndio kinafikia tamati hivi karibuni. Je, tuna nini cha kujivunia kama taifa? In terms of uwezo na UTHUBUTU wa kutenganisha SIASA na TAALUMA?
Sioni matumaini bali naona kujikomba, naona kujipendekeza, naona kujitoa ufahamu, naona kujikataa utu binafsi, nauona woga na hofu, naona kinyaa na aibu ya watu wazima na elimu zao na familia zao na utu wao wakiwa wala matapiko na walamba viatu vya wakubwa kisa tu wapate teuzi za nafasi za kisiasa.
Its so pathetic. Kwamba hata forums nyingi kwa sasa hazina mijadala mingine zaidi ya hizi chaguzi za kisiasa
- Kugombea
- Kutia nia
- Kuomba ridhaa
- Kushikana uchawi
- Rushwa na milungula
Jr