Recent content by mzizi1

  1. M

    FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

    Mwenye link anaweza share, huku madongo maji washakata umeme
  2. M

    Naomba kujuza kuhusu IAA kampasi ya DSM

    Hii master of Information Security inayotolea kampasi ya Dar, mradi utanihitaji nisome huku nafanya kazi
  3. M

    Naomba kujuza kuhusu IAA kampasi ya DSM

    Naomba Kujuzwa zaidi kuhusu chuo cha IAA kampasi ya DSM Msaada tutani, ninafikiria kwenda shule mwakani na chaguo ni IAA kusoma masters kwa mwaka mmoja, kuna mradi watanisapoti na kulingana na contents yao naona kama vitu vingi vinafaa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu kuhusu ndaki hii, mazingira...
  4. M

    Naomba kujuza kuhusu IAA kampasi ya DSM

    Mods naomba title irekebishwe na iwe "Kujuzwa"
  5. M

    Naomba kujuza kuhusu IAA kampasi ya DSM

    Naomba Kujuzwa zaidi kuhusu chuo cha IAA kampasi ya DSM Msaada tutani, ninafikiria kwenda shule mwakani na chaguo ni IAA kusoma masters kwa mwaka mmoja, kuna mradi watanisapoti na kulingana na contents yao naona kama vitu vingi vinafaa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu kuhusu ndaki hii, mazingira...
  6. M

    Msaada: Gari yangu inatoa Mlio tofauti wakati wa kurudi reverse

    Wakati nimeweka reverse mkuu, napiah sikujua ractis kama sio gari
  7. M

    Msaada: Gari yangu inatoa Mlio tofauti wakati wa kurudi reverse

    Habarini wakuu, Naomba msaada hapa, gari aina ya ractis pale nikiwa ninarudi reverse kuna sauti fulani kama ya kitu kinagongwa mara kwa mara au kama kinatetemeshwa hivi. Nilienda kwa fundi kucheck akanambia yawezekana ni exozi iligongwa mahali, akarekebisha lakini naona hali bado ni ileile...
  8. M

    Msaada Nimegundua Fundi anaweza ua kabisa gari yangu

    Ishaanza kuwa nyeusi mkuu, fundi alisema next service yaweza badirishwa
  9. M

    Msaada Nimegundua Fundi anaweza ua kabisa gari yangu

    Shukran, na piah hapo kwenye gearbox ndo kuna kipengere mafundi hawaelewi kama ni CVT ama sio, Trans code yake ni K411, fundi anasema oil ya kuweka ni ATF T IV
  10. M

    Msaada Nimegundua Fundi anaweza ua kabisa gari yangu

    Wandugu habari zenu naomba msaada maana hapa ndipo lilipochimbuko la ukweli. Nimenunua Ractis new model ikiwa na genuine km (20k) kutoka japan ( certification ya mtu alonunua toka kiwandani nilipewa). Engine 1NR-FE, sikufanikiwa kupewa user manual Ilipofika katika kutembelea nikaenda kufanya...
  11. M

    Utapeli wa kuagiza gari Japan

    Pole mkuu ila real motors hawa ninaowafahamu hawako ivo, nimeagiza gari mpya kabisa grade 5 millieage 20400km, one owner nimetumiwa documents mpaka certificate ya jamaa alokua anamiliki. Maybe haukupita kwenye trusted site yao. Ila jamaa wako real kama jina lao
  12. M

    Natafuta Taa za Nyuma za Ractis new model

    Habari wakuu, Mwenye nazo au anayeweza kunielekeza kwa mwenye hizi taa za nyuma za Toyota Ractis, msaada tafadhali. Ukisaidia na bei zake kwa mpya au used utakuwa umenisaidia sana
Back
Top Bottom