Naomba Kujuzwa zaidi kuhusu chuo cha IAA kampasi ya DSM
Msaada tutani, ninafikiria kwenda shule mwakani na chaguo ni IAA kusoma masters kwa mwaka mmoja, kuna mradi watanisapoti na kulingana na contents yao naona kama vitu vingi vinafaa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu kuhusu ndaki hii, mazingira...
Naomba Kujuzwa zaidi kuhusu chuo cha IAA kampasi ya DSM
Msaada tutani, ninafikiria kwenda shule mwakani na chaguo ni IAA kusoma masters kwa mwaka mmoja, kuna mradi watanisapoti na kulingana na contents yao naona kama vitu vingi vinafaa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu kuhusu ndaki hii, mazingira...
Habarini wakuu,
Naomba msaada hapa, gari aina ya ractis pale nikiwa ninarudi reverse kuna sauti fulani kama ya kitu kinagongwa mara kwa mara au kama kinatetemeshwa hivi.
Nilienda kwa fundi kucheck akanambia yawezekana ni exozi iligongwa mahali, akarekebisha lakini naona hali bado ni ileile...
Shukran, na piah hapo kwenye gearbox ndo kuna kipengere mafundi hawaelewi kama ni CVT ama sio, Trans code yake ni K411, fundi anasema oil ya kuweka ni ATF T IV
Wandugu habari zenu naomba msaada maana hapa ndipo lilipochimbuko la ukweli. Nimenunua Ractis new model ikiwa na genuine km (20k) kutoka japan ( certification ya mtu alonunua toka kiwandani nilipewa).
Engine 1NR-FE, sikufanikiwa kupewa user manual
Ilipofika katika kutembelea nikaenda kufanya...
Pole mkuu ila real motors hawa ninaowafahamu hawako ivo, nimeagiza gari mpya kabisa grade 5 millieage 20400km, one owner nimetumiwa documents mpaka certificate ya jamaa alokua anamiliki. Maybe haukupita kwenye trusted site yao. Ila jamaa wako real kama jina lao
Habari wakuu,
Mwenye nazo au anayeweza kunielekeza kwa mwenye hizi taa za nyuma za Toyota Ractis, msaada tafadhali. Ukisaidia na bei zake kwa mpya au used utakuwa umenisaidia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.