Iran wananyonga hata watoto wanaokutwa wanasikiliza muziki, eti ni dhambi. Hakuna mwarabu/mwisilamu aliyelaani.
Lkn Israel kutaka kunyonga wauaji kelele kila kona ya waarabu na waislamu.
Jema wapi wewe mzee?
Yaani baada ya kuuwa watu kwa makumi elfu, kuzuga tu kuwa kaasili katoto mmemsamehe!!!
Watanzania tupimwe akili!
Mmesahau mara hii mauaji ya halaiki! Kina Polepole, Mdude, kesi ya kishetani ya Lissu, Mdude, mtoto aliyechoma picha yake kuuliwa kinyama!! Jiupusheni na laana...
Akili inamiambia hajaitwa ikulu kwa wema kabisa!
Nakumbuka Kikwette alivyomchamba siku ya mazishi ya CD Msuya...na huyo ndiye mshauri mkuu wa Samuya!
Mungu mlinde mzee Warioba dhidi ya hila za kishetani.
Alitaka mje mmbadili nyie, alidhani mtakuwa na akili hata kidogo!
Jiulizeni kwani wakenya walibadili katiba yao wakati Kenyatta!!.
Acheni kulialia, kama mmeishiwa mbinu za kuitoa hii shetani CCM tulieni tu, kwa sasa kumlaumu Nyerere hakuwasaidii.
Kumlaumu Nyerere kwa matatizo ya Samia na Kikwete ni utaahira kabisa!
Mlitaka yule mzee awafanyie kila kitu, mkute na ubwabwa kwenye majiko yenu...napo mgesema hakuacha mafuta !!
Na amini usiamini hizi lawama kwa Mwalimu hupendelewa sana na wanamtandao ili kuhamisha upumbavu wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.