Nyie wapuuzi bado mnamlaumu Nyerere miaka 40 baada ya kuondoka madarakani! Nyie kazi yenu nini katika hii nchi! Kula tu! Alifanya alichofanya akawaachia nyie mmrekebishe alichokosea kwa kuwa hakuwa malaika. Tena wapuuzi wengi wanaosema hivi ni mawakala wa watawala waovu wa nchi hii, kwemu...
Iran wananyonga hata watoto wanaokutwa wanasikiliza muziki, eti ni dhambi. Hakuna mwarabu/mwisilamu aliyelaani.
Lkn Israel kutaka kunyonga wauaji kelele kila kona ya waarabu na waislamu.
Jema wapi wewe mzee?
Yaani baada ya kuuwa watu kwa makumi elfu, kuzuga tu kuwa kaasili katoto mmemsamehe!!!
Watanzania tupimwe akili!
Mmesahau mara hii mauaji ya halaiki! Kina Polepole, Mdude, kesi ya kishetani ya Lissu, Mdude, mtoto aliyechoma picha yake kuuliwa kinyama!! Jiupusheni na laana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.