Recent content by Mzizi wa Mbuyu

  1. Mzizi wa Mbuyu

    Duniani hakuna watu wanafiki kama waarabu

    Iran wananyonga hata watoto wanaokutwa wanasikiliza muziki, eti ni dhambi. Hakuna mwarabu/mwisilamu aliyelaani. Lkn Israel kutaka kunyonga wauaji kelele kila kona ya waarabu na waislamu.
  2. Mzizi wa Mbuyu

    Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

    Jema wapi wewe mzee? Yaani baada ya kuuwa watu kwa makumi elfu, kuzuga tu kuwa kaasili katoto mmemsamehe!!! Watanzania tupimwe akili! Mmesahau mara hii mauaji ya halaiki! Kina Polepole, Mdude, kesi ya kishetani ya Lissu, Mdude, mtoto aliyechoma picha yake kuuliwa kinyama!! Jiupusheni na laana...
  3. Mzizi wa Mbuyu

    Naitwa Tundusami mgeni nipokeeni

    Huyu angemtupia bomu kabisa!!
  4. Mzizi wa Mbuyu

    Anne Kilango: Watanzania tujue Rais Samia anaongoza Taifa kubwa sana Afrika Mashariki

    Huyu nae anaugua ugonjwa wa akili wa kujipendekeza, anayemtaja kwanza siyo rais. Ni mkoloni anayewatawala watanganyika kinguvu!
  5. Mzizi wa Mbuyu

    PostGE2025 Samia: Nimeliponya Taifa kwa kuanzisha Wizara ya Vijana na kuwaachia huru watuhumiwa wa kesi ya Uhaini

    Anapora uchaguzi, anaua watu, anateka watu, anabambikia kesi n.k...then huyohuyo anasema anataponya upumbavu gani vile!! Huyu ni mhalifu anatakiwa ashtakiwe na kuchukuliwa hatua
  6. Mzizi wa Mbuyu

    Mapinduzi ya Zanzibar yasiyo na shukrani kwa John Okello

    Hata Nyerere mwenyewe wanamtukana na kumlaani kila siku! Ni kizazi kisicho shukrani kabisa, wamejaa chuki ya kipumbavu sana
  7. Mzizi wa Mbuyu

    Inadaiwa Kikwete akiwa Waziri aliwahi omba RUSHWA, na alijiapiza aliyenyima, akiwa Rais atamnyoosha…

    JMK anakinyongo cha kishetani kabisa! Yuko rafhi hata kuua myu anayesifiwa tu kuliko yeye!
  8. Mzizi wa Mbuyu

    Samia akutana na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba, Ikulu Jijini Dar es Salaam

    JK akiona sifa hizi na heshima anazopewa Jaji Warioba atakuwa anaumia saaana!! Hapo anatamani afe hata leo.
  9. Mzizi wa Mbuyu

    Samia akutana na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba, Ikulu Jijini Dar es Salaam

    Akili inamiambia hajaitwa ikulu kwa wema kabisa! Nakumbuka Kikwette alivyomchamba siku ya mazishi ya CD Msuya...na huyo ndiye mshauri mkuu wa Samuya! Mungu mlinde mzee Warioba dhidi ya hila za kishetani.
  10. Mzizi wa Mbuyu

    Hayati Julius Nyerere ni sehemu ya matatizo ya sasa Tanzania

    Kama mambo hamuyajui msiwe mnachangia, ni ushauri tu. Ulichoandika ni aibu
  11. Mzizi wa Mbuyu

    Hayati Julius Nyerere ni sehemu ya matatizo ya sasa Tanzania

    Alitaka mje mmbadili nyie, alidhani mtakuwa na akili hata kidogo! Jiulizeni kwani wakenya walibadili katiba yao wakati Kenyatta!!. Acheni kulialia, kama mmeishiwa mbinu za kuitoa hii shetani CCM tulieni tu, kwa sasa kumlaumu Nyerere hakuwasaidii.
  12. Mzizi wa Mbuyu

    Hayati Julius Nyerere ni sehemu ya matatizo ya sasa Tanzania

    Kumlaumu Nyerere kwa matatizo ya Samia na Kikwete ni utaahira kabisa! Mlitaka yule mzee awafanyie kila kitu, mkute na ubwabwa kwenye majiko yenu...napo mgesema hakuacha mafuta !! Na amini usiamini hizi lawama kwa Mwalimu hupendelewa sana na wanamtandao ili kuhamisha upumbavu wao.
Back
Top Bottom