Recent content by Mzito Kabwela

  1. Mzito Kabwela

    Mimi Pascal Mayalla Sipongezi Kutafuta Uteuzi Wowote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine Kumtia Moyo Kwa Mazuri ya Kweli!

    Kwa nini unaomba usiteuliwe kuwa jaji badala ya kusema ukiteuliwa kuwa jaji UTAKATAA?
  2. Mzito Kabwela

    TANZIA Jenista Mhagama, Mbunge wa Peramiho afariki dunia

    Uwaziri wake wa Afya unahusikaje na kifo chake?
  3. Mzito Kabwela

    App gani ya mikopo play store napata hela ya kula leo

    Nilikopa mitandaoni, najuta na sitarudia tena
  4. Mzito Kabwela

    Polepole: Kuna mtu alikuja kuniambia kuwa kiongozi wa awamu ya 5 atakufa

    Polepole kama Polepole anayoyaongea Watawala watakuwa wanajua kama anaongea ukweli au anaongopa. Kinachoniogopesha mimi ni Logic ya lawaida tu kwamba Polepole hay hayuko peke yake. Je NYUMA YAKE YUPO NANI? Maana hii no vita ya madaraka ndani ya CCM pole kaigeuza ni vita ya kurejesha chama na...
  5. Mzito Kabwela

    Utaratibu wa kupata vibali ya ujenzi kwenye maeneo ya skwata kama mbondole Ilala Dar es Salaam ni halali?

    Ukiacha zoezi zima la kuzuia ujenzi usio na kibali kugubikwa na Rushwa, wanaodai kulipia hivyo vibali wanadai wamelipa mkononi bila kupewa control number. Lakini kisheria ni halali kulipia hivyo vibali kwenye maeneo ambayo yapo kwenye mpango wa kurasimishwa? Mtu anajenga ukuta wa nyumbani...
  6. Mzito Kabwela

    KERO Vyoo vya stendi kuu ya Mtwara ya Mkanaledi ni hatari kwa afya

    Jionee mwenyewe kwenye picha... Hapa ni Manispaa ya Mtwara Mikindani. Bwana Afya na Bibi Afya wapo tu, wanasubiri milipuko ya magonjwa ili waandike madosari ya kuomba fedha. Hakuna jitihada za kweli za kuzuia, bali kusubiri matatizo yatokee ndipo wachukue hatua – tena kwa maslahi yao binafsi.
  7. Mzito Kabwela

    Nitamshauri Lissu akitoka Jela aachane na siasa za kupigania Taifa, bora akale maisha huko Ulaya

    Lissu hapokeagi ushauri wa mtu yoyote zaidi ya MARIA SARUNGI.
  8. Mzito Kabwela

    PreGE2025 Rosemary Mayemba anaiua CHADEMA Njombe

    Rosemary Mayemba ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema. Alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe kabla uchaguzi haujafutwa ambapo yeye Rose anadai uchaguzi ulikuwa na figisu. Sio lengo langu kujadili hizo figisu isipokuwa nataka watu wajue hali halisi ilivyo hapa Njombe. Rosemary Mayemba kama mjumbe...
  9. Mzito Kabwela

    Records za matusi kwa g55

    G55 mnawaita NJAA 55. Hilo kama sio tusi ni nini? Kwa nini msiwapinge kwa hoja zao bila kuwakejeli na kuwaita majina mabaya?
  10. Mzito Kabwela

    Nakukemea Freeman Mbowe

    Lissu amemtaja aliyetaka kumuua zaidi ya mara 100, wewe bado tu unaleta chuki kwa FAM?Mzee wa watu kapumzika lakini bado mnamlilia. Mmebaki yatima eeh?
Back
Top Bottom