Recent content by Mzigua wa kuchovya

  1. Mzigua wa kuchovya

    Bora kuoa mke kilaza kuliko kuolewa na mume kilaza

    Jamani jamani nyinyi wanaume mbona baadhi yenu hamna huruma jamani kwa wake zenu? Nilikuwa najua mwanaume ndo mtu wa kwanza mwenye huruma kwa mkewe lakini sivyo. Aisee kuna wanaume hawawazi kama kesho anatakiwa kuja kuwa baba wa familia yaani ye bora liende tu. Mwanaume ndo kichwa cha...
  2. Mzigua wa kuchovya

    Hapa cjaelewa bado

    Hivi mwanaume anaposem anataka mwanamke mwenye dini anamaanisha mtu aliyeisoma dini,akaijua ila haitilii maanani anaifanyia kazi kiuvivu uvivu au Mtu aliyesoma walau kidogo lkn anapractice? Yupi anayehitajika haswa hapo
  3. Mzigua wa kuchovya

    Hujafa hujaumbika

    Saana
  4. Mzigua wa kuchovya

    Hujafa hujaumbika

    Hakika
  5. Mzigua wa kuchovya

    Mara Paaap unaamka unajikuta ulikuwa unaota.!

    Hiv ikitokea tu ndo unajikuta unamiaka kumi ndo kwaaanza unaamshwa uende shule yaaani muda wote huo ambao we unajiona umekuwa mkubwa kumbe ulikuwa unaota tu UTAFANYAJE?
  6. Mzigua wa kuchovya

    Tofauti kati ya watzee na wazungu..

    Mswahili aachi asili ye
  7. Mzigua wa kuchovya

    Waume wameisha au veepe?

    Badoooooooo
  8. Mzigua wa kuchovya

    Waume wameisha au veepe?

    Nakufaham pia
  9. Mzigua wa kuchovya

    Waume wameisha au veepe?

    .
Back
Top Bottom