Jamani jamani nyinyi wanaume mbona baadhi yenu hamna huruma jamani kwa wake zenu? Nilikuwa najua mwanaume ndo mtu wa kwanza mwenye huruma kwa mkewe lakini sivyo. Aisee kuna wanaume hawawazi kama kesho anatakiwa kuja kuwa baba wa familia yaani ye bora liende tu.
Mwanaume ndo kichwa cha...
Hivi mwanaume anaposem anataka mwanamke mwenye dini anamaanisha mtu aliyeisoma dini,akaijua ila haitilii maanani anaifanyia kazi kiuvivu uvivu au Mtu aliyesoma walau kidogo lkn anapractice?
Yupi anayehitajika haswa hapo
Hiv ikitokea tu ndo unajikuta unamiaka kumi ndo kwaaanza unaamshwa uende shule yaaani muda wote huo ambao we unajiona umekuwa mkubwa kumbe ulikuwa unaota tu
UTAFANYAJE?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.