Recent content by Mzeru_

  1. Mzeru_

    Call for Interview-Tanzania Airports Authority(TAA) 30-May-2019

    Vipi kuhusu kiwango cha mshahara cha Salary Scale TAAS 4
  2. Mzeru_

    Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

    Hivi salary scale ya TAAS 4 ni shingapi?
  3. Mzeru_

    Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

    Salary Scale ya TAAS 4 ni shingapi hivi?
  4. Mzeru_

    Interview TAA(Mamlaka ya viwanja vya ndege)

    Ulibahatika kuambiwa ni bei gani kaka?
  5. Mzeru_

    Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

    Hamna muongozo niliopata mpaka sasa
  6. Mzeru_

    Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

    Azam wanzengua sana😄😄au ndio wana overload wafanyakazi, wanakua wanataka versatile
  7. Mzeru_

    Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

    Issue sio hiyo swala hapa ni kwamba kampuni ina nyanja kibao na kila nyanja lazim wakae watu huwezi weka ndugu kila sehemu sasa hata kama anaweka ndugu ndio hata matangazo ya ajira tusione😂😂
  8. Mzeru_

    Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

    Mo ujue mpaka ana recruitment yake, na anatoa ajira kwa watu tofauti tofauti hata interview anafanya japo nafasi zake ni chache ila unaona matangazo yake ya kutoa ajira na kutaka wafanya kazi ila kwa Azam ni tofauti yani huoni hata wakisema wanataka wafanya kazi
  9. Mzeru_

    Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

    😂😂sasa kazi zote watafanya wao
  10. Mzeru_

    Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

    Nimejitahidi kutafuta ajira za Azam ila sioni popote kama kuna matangazo yao ya ajira, naona wapo tofauti kidogo na METL. Kwa ambaye anajua kama Azam anatoa nafasi za ajira anisaidie niangalie kama kuna nafasi. Swali: 1. Je, unapeleka cv ofisi zao? Na kama unapeleka je ofisi zao ziko wapi? 2...
  11. Mzeru_

    Tundu Lissu ameongea na waandishi wa habari, afafanua vitisho vya Amsterdam kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi na suala la kuunga mkono Ushoga

    Hapo ndo kisanga, kwa kifupu upinzani unapambana n mshika mpini ila atadondoka tu for God will
  12. Mzeru_

    Tundu Lissu ameongea na waandishi wa habari, afafanua vitisho vya Amsterdam kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi na suala la kuunga mkono Ushoga

    Wanasaidia kwa nmna moja au nyingine sio hvy tu km bado haujajua saiv wmeshakuj n chadema tv sio hvy t hat il channel ya darmpya inasaidia san
Back
Top Bottom