Mzeru_
Member
- Sep 22, 2020
- 19
- 17
Nimejitahidi kutafuta ajira za Azam ila sioni popote kama kuna matangazo yao ya ajira, naona wapo tofauti kidogo na METL. Kwa ambaye anajua kama Azam anatoa nafasi za ajira anisaidie niangalie kama kuna nafasi.
Swali: 1. Je, unapeleka cv ofisi zao? Na kama unapeleka je ofisi zao ziko wapi?
2. Je, kwanini hatuoni poster zao wala matangazo kwenye recruitment za ajira?
Swali: 1. Je, unapeleka cv ofisi zao? Na kama unapeleka je ofisi zao ziko wapi?
2. Je, kwanini hatuoni poster zao wala matangazo kwenye recruitment za ajira?