Recent content by Mzelela James

  1. M

    Second interview NSSF

    thank you man wish you best of lucky too. mungu akatutangulie ukawe mwaka wa kuingia kazini kaka.
  2. M

    Second interview NSSF

    walianza jumanne kupigia watu bt yawezekana waliokupigia jmos na namba ya ofcn ilikuwa ni moja ya feedback za application zako ulizofanya sehemu zingine pengine walikuwa walikuwa wanakutafuta for interview. so kama unajua umetega sehemu nyingi bac uwe active na simu yako muda wote ucje kosa...
  3. M

    Second interview NSSF

    jamaa walinipigia jana jioni walinipa namba ya interview inaonekana wanatuma text kama kutoa taarifa kwanza then wanaanza kupiga kwa ajili ya kutoa namba nafikiri hata walikokuwa na tatizo kama langu soon before saturday watakuwa wamewapigia.
  4. M

    Second interview NSSF

    hata mie wamenitumia meseji tu sasa cjui utaratibu wa namba utakuwaje maana kuna mshkaji wangu walimpigia wakampa na namba kabisa kama ilivyokuwa 1st interview.
  5. M

    Maswali ya interview walioitwa NSSF

    bravo! guy u tiped on da point view of NSSF As a whole even if they come up out of dat its also important to know how it operate n how both employees n employers benefit.
  6. M

    Maswali ya interview walioitwa NSSF

    sorry yawezekana kuna makundi kadhaa kwa nyakati tofauti yatafanya maana yangu imeandikwa itaanza 08:30 AM na sio saa 6.
Back
Top Bottom