Uko sahihi ndugu ila BOT Kwa mujibu wao wanadai kuwa wamefungia hiyo kampuni kwasababu BOT haiamini mfumo wa biashara ya upatu lakini pia binafsi mimi naona kama BOT imefungia hiyo kampuni ni busara iwajulishe wananchi wake kama inafungia hiyo na kutoa taarifa ya umma na wananchi wajulishwe...
Uko sahihi, ila hayo mambo mengi waliyo nayo Serikali ikiwemo na hili kama jukumu lao, pia namna ya uelewa kwa watu tunatofautiana wakati elimu ikiendelea kutolewa Kwa wananchi pia serikali iboreshe miundombinu yake ya kuzuia haya majanga Kwa njia ya kimtandao
Habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo linaniwazisha sana hasa juu ya hii mifumo ya upatu maarufu kama Ponzi schemes(kama sijakosea herufi) binafsi sijawahi kushiriki
Ila naona kama serikali inachelewa sana kutambua haya mambo au inafanya makusudi? au kuna baadhi ya watumishi wa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.