Pamoja na Ambart kutoa video chafu lkn sijaona watu wanarusha uwanja wazi watu wengine nimeona wanazungumzia connection yaani wanatumiane huko INBOX
Nitumie Fursa hii kuipongeza serekali ya JPM hasa kwenye hiki kipengele cha kuzuia VIDEO CHAFU na kuraani hawa vijana wawili ambart na mwenzie...
Huu ushauri uchukueni ktk mtazamo chanya(nafanya hivi kwa mapenzi ktk nchi yangu))
Kunabaadhi ya wafanyakazi Wa serekali wanaitazama mitandao ya kijamii katika jicho hasi sana
Nimesoma katika gazeti LA mwananchi BABU TALE anasema kupitia acc. Yake ya instagram kwamba endapo atapewa eneo na...
Swala imani n jambo muhimu sana bila viongozi Wa dini siamini kama tungeishi kwa upendo ndio maana hakuna sehemu umewahi kuona msikiti na kanisa vipo pamoja!!!
Makanisa kujengwa katika makazi ya watu kuomba kwa maspika makubwa usiku Wa manena wakati watu wanataka wapumzike, wengine n wagonjwa...
Mm mkristu kama ww nimewahi kuishi krbu na msikiti ki ukweli jamaa ndio walikuwa ALAMU YANGU ikifika tu huo muda wanapiga adhana yao SAA kumi na moja asubuhi naamka nasoma nusu SAA then mazoezi nusu SAA baada ya hapo shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.