Recent content by MzeeMpya

  1. MzeeMpya

    Hali ya ndugu yangu imezidi kuwa mbaya naombeni msaada wa tiba

    Kama unaamini kachezewa baci mpelekeni ktk nyumba za ibaada. Anaweza kupata msaada.
  2. MzeeMpya

    Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

    Ninao dawa inaweza kumsaidia. ila awe amedhamiria kweli kweli kumsahau...
  3. MzeeMpya

    Hivi Tanzania kuna taasisi inayojishighurisja na haki za wanyama? Kama ipo mnijuze kabla sijafanya ukatili mbaya

    Paka anakutoa jasho. Hadi unataka kumaliza risasi zako kwa ajli yake. Je ukishambuliwa na mbu utaomba kibali kipi?
  4. MzeeMpya

    Ni vizuri ukawa msafi vya kutosha unapokuwa faragha na mwenzi wako

    Ahsante kwa nasaha. iliojaa ukumbusho wa ushauri. Kama ww ni jinsia ya ke baci unaenshi kwa vitendo yale yote ylioyaidhinisha ktkt andiko lako.
  5. MzeeMpya

    Kataa kabisa urafiki au mahusiano ya kawaida na Askari Polisi

    Mtoa mada inaonekana unao chuki yako binafsi na hawa polici wa tz. Lakini hadi umemaliza andiko lako ujasema wala kutaja sababu zako za msingi za kutukataza tusiewe na uhusiano nao. Ww kama unazoki zako binafsi usituhusishe. Ukifanya vibaya au mjuaji lazma ujuane na wababe kama ww. Polici ni...
  6. MzeeMpya

    Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

    Kijana bado upo mtoto. Endelea kula kwa mjomba na kulala kwa baba... Ukishajua jinsi ya kutafuta pexa ndo hapo hapo utaanza kupata hao mademu unaowataka
  7. MzeeMpya

    TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

    Dini yote duniani hayijawahi kuamrisha waumini wake wawe wahuni . Kama umekosa malezi hata imani utayikosa uwe mkristo au mwisilamu. Hamna aliezuyiliwa asile chakula kipindi cha ramadhani. ila umekatazwa kula chakula hadharani. ktk maeneo ya umma. Umekatazwa kuvya nguo fupi na kutembea nusu...
  8. MzeeMpya

    Naombeni ushauri, nataka nizae naye tu kisha nitulie

    Hapa naona toka mwanzo hujakua na nia nzuri ya kuoa. Na wala ww sio muoaji. Ni mnusa mto!!!! umeshaamua kumnyanyasa mtoto wa watu. Na Mwanamke mwenyew kama amedhibitiwa na jinamizi la mikosi ya Ngono.. Ushauri wangu rudia mungu wako ili uanze kupata amani ya nafsi.
  9. MzeeMpya

    Msingi wa Ikulu ya Dodoma, ulitumia nondo za Tsh. Bilioni 1

    Maajaabu ya Tanzania. Tanzania pekee ndio nchi duniani kila rai ni mtaalam. Mwalimu na mwanafunzi wanalingana maarifa. Kwani tujadili gharama ya ikulu ilihali sote tunatambua kua ndio makazi namba moja ya muongoza nchi. Amiri Jeshi - Mwajiri mkuu - na mlinda pexa za nchi yetu. Tukubaliane...
  10. MzeeMpya

    Kati ya Nyerere aliyetulisha unga wa njano, mahindi ya mifugo Marekani na Michele wa virutubisho yupi bora?

    Kwani ww umeshasaidia majirani zako mara ngapi? Tusiwe wapeci kulaumu serikali au matamshi ya wanasiasa. Na sisi rai kila moja wetu anao nafaci aliojaaliwa na mungu. Kutoa ni moyo.
  11. MzeeMpya

    Naumwa na mwili unachoka lakini hospitali hawaoni kitu, inaweza kuwa kitu gani?

    Kama kweli unaumwa mwili na kuchoka mara kwa mara. Baci njia rahisi ni kujifukiza mvuke. Piga nyungu iliotimia utarudi kutuhadisia. Lakini kama umeandika uzi wako huu kwa dhihaka baci na ww mungu atakudhihaki na kukuswarifu...
  12. MzeeMpya

    Msaada juu ya mtoto nimehangaika hospitalini bila mafanikiao

    Pole kwa mitihani ya mtoto. Ningependa kukushauri uangalie kwa upande wa pili. Rudi kwa muumba wako . Kama ww ni mkristo baci mpleke kwenye makanisa ya wacha mungu sio maomba mungu. Na kama imani yako ni kiisilamu baci tafuta sheikh aliebobea kwenye naombi ya "manamini" Sio atakaejigamba kumtibu...
  13. MzeeMpya

    Kiungo gani cha mwili kinakupa sana pesa?

    Hili swali lako mbona limeka kushoto Kwanini usiende moja kwa moja kwa akina dada? Au hadi wanaume kuna mauzo wanapata?
Back
Top Bottom