Recent content by mzeemitomingi

  1. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Allah amewaumba binadamu na majini ili wamuabudu?

    Mimi nikotofauti na hii fikra ambayo pia hapo zamani nlijua ivo kutokana na mapokeo ya kijamii ila kwa siku hizo najuaga Mungu aliumba binadamu ili akatawale dunia na vyote viujazavyo kwa lugha ingine ni kwamba Mungu alitaka kutawala dunia kwa kukaimisha madaraka kwa mwanadamu...nimewakilisha tu
  2. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Jina la sasa la Twitter" X" lina utata sana

    Musk ana lake jambo lililonyuma ya pazia
  3. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

    Kanuni ni hii kwa mtazamo wangu...usizoeane na mwanamke yoyote mpaka ukapitiliza coz mwisho wake anageuka kuwa mzuri kwako na utaona anafaa kwa matumizi japo sio lazima ...ni general idea
  4. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Tanzania bila foleni haiwezekani, kila mahali foleni

    Ni km vile folen zingine ni km ni sehemu tu ya utamaduni wetu ...uvivu uvivu na dharau za matumizi ya muda
  5. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Tanzania bila foleni haiwezekani, kila mahali foleni

    Hili ni la muhimu kabisa
  6. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Tanzania bila foleni haiwezekani, kila mahali foleni

    Habari ndugu wana jamii ya Tanzania, Kila mahali tunaishi kwa foleni.. zingine ni za msingi lakini zingine sio za lazima kama bank (one teller ila madirisha 6). Ferry (one server madirisha 2 mpaka 3), Kigamboni bridge (one or two servers ila kuna madirisha mengiVtu). Hii inatokana na uzito wa...
  7. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Wanawake wa kileo: Nini kilichowatoa majumbani na kuanza kuingia mitaani na maofisini kutafuta hela?

    Unajua mfumo wa hii dunia ni ngumu sana na ni mfumo uliotekwa , Kwa upande wa kimunungu kuna mfumo ambao Mungu aliplan dunia iwe na bahati mbaya mambo yaliharibika(Adam+Eve mistakes) na ikapelekea mfumo mwingine(yaani uliotekwa). Sasa kanuni ni hii:- Ili wanawake + wanUme (jamii kiujumla )...
  8. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Guitar, Tv, deki na friji vinauzwa

    nitafute kama unalitaka
  9. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Guitar, Tv, deki na friji vinauzwa

    hahahaaa nicheck tu tufinalize biashara kama na we tayari
  10. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Guitar, Tv, deki na friji vinauzwa

    Ni mpwa wangu bwana mdogo tu anapiga piga tu
  11. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Guitar, Tv, deki na friji vinauzwa

    Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Guitar, Tv, deki na friji vinauzwa

    Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Guitar, Tv, deki na friji vinauzwa

    Sent using Jamii Forums mobile app
  14. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Guitar, Tv, deki na friji vinauzwa

    Sent using Jamii Forums mobile app
  15. mzeemitomingi

    JamiiForums Tanzania Natafuta galatone(gitaa/ acoustic guitar)

    mi nnalo nauza 100k, inbox me
Back
Top Bottom