Recent content by Mzee_Wa_Conspiracy

  1. Mzee_Wa_Conspiracy

    Serikali yashindwa tena kuwaleta Mahakamani watuhumiwa wa Ugaidi, yasema italihamisha shauri Mahakama Kuu

    Una Ushahidi kama ni Magaidi ? Mawakili wa Serikali hadi leo wameshindwa kuthibitisha. Kama unao nenda katoa ushaidi mahakamani
  2. Mzee_Wa_Conspiracy

    Zanzibar: Mbunge wa jimbo la wawi Mohammed Juma Ngwali (CUF) ajivua uanachama wake na kujiunga na CCM

    NG'OME ya Maalim Seif imehamia ACT, hao waliobaki CUF walijichuja wenyewe.
  3. Mzee_Wa_Conspiracy

    Pigo jingine kwa CUF, Zanzibar; Mbunge wa Ole ajivua vyeo vyote na kuomba kujiunga CCM

    Tulitegemea Hilo kwasababu ya Ubunge. Je Huko CCM utashinda Ubunge Bwana Juma? hivi wapemba kule walikupa kura kwasababu wewe ni mbunge wa maana au kwasababu ulikuwa CUF?
  4. Mzee_Wa_Conspiracy

    Zanzibar: Mbunge wa jimbo la wawi Mohammed Juma Ngwali (CUF) ajivua uanachama wake na kujiunga na CCM

    Ah Bwana Ngwali nasikia ACT wamekugomeeni kugombania Ubunge jimboni kwako. Je, utapita kupitia CCM au wamekuahidi watakusaidia kukuibia kura? Najua mpo wengi mnataka kuhamia CCM kwasababu ya Ubunge.
  5. Mzee_Wa_Conspiracy

    Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

    Katika sakata lote hili la siku mbili tatu, nimegundua mambo mawili matatu. La Kwanza: RAISI wetu alikuwa anaumwa kweli na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kama sijakosea imetuficha for which reason i don't know but it was stupid idea. Kwanini nikasema stupid Idea kwasababu imezalisha taharuki na...
  6. Mzee_Wa_Conspiracy

    Spika Ndugai: Bunge limeazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad si ofisi ya CAG. Ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na Prof. Assad

    Kuna msemo ambao watu wa pwani wanaupenda sana ukiwa unaongea ujinga ujinga, neno 'hashuo' huyu spika na wabunge wake wa CCM ni mahashuo
  7. Mzee_Wa_Conspiracy

    Zanzibar: Ukiwa mfuasi wa CUF huuziwi Kahawa!

    Wewe unazungumzia video iliyorekodiwa mtendeni jana ambayo inayoonesha kuwa viongozi wa CUF pale mtendeni kukataliwa kuuziwa chochote? au kuna nyengine uliona zaidi ya hio? maana haijatokea kitu hicho sehemu yoyote zanzibar zaidi ya pale mtendeni jana
  8. Mzee_Wa_Conspiracy

    Rasmi Bendera ya CUF yapandishwa Ofisi Kuu ya Chama hicho huko Zanzibar.

    Leo Hii mtaa wa mtendeni baada ya bendera ya CUF kupandishwa makao makuu ya chama
  9. Mzee_Wa_Conspiracy

    Rasmi Bendera ya CUF yapandishwa Ofisi Kuu ya Chama hicho huko Zanzibar.

    Nawatakia kila la kheri katika ofisi yao ya mtendeni ijapo kuwa majirani wote wa ofisi hio ni wanachama wa ACT na tawi liliopo chini yao nalo ni la ACT na usishangae ukakuta barabara nzima ya mtendeni imejaa bendera za ACT
  10. Mzee_Wa_Conspiracy

    Gia ya angani, kadi # 1, na kauli mbiu ya “ulipo tupo” ni matokeo ya siasa za ufuasi

    Masaa 6 bado hayajesha, wacha niendelee na serengeti zangu hapa nikuwachie wewe na uzi wako mbovu uliojaa propaganda za kijinga za CCM.
  11. Mzee_Wa_Conspiracy

    CUF mpya ya Lipumba yaomba kushirikiana na CCM

    nice joke, i like it. fanya uanzishe na wewe vipindi kama vile vya zekomedi
  12. Mzee_Wa_Conspiracy

    CUF mpya ya Lipumba yaomba kushirikiana na CCM

    Hakuna ofisi za CUF zilizochukuliwa zanzibar. Cuf wanamiliki ofisi mbili tu zanzibar na bado wanazo na zinapepea bendera kama kawa na wafanyakazi wapo ambao wanafika miezi zaidi ya mitatu hawajalipwa
  13. Mzee_Wa_Conspiracy

    Maalim Seif kuhamia ACT Wazalendo badala ya CHADEMA; Shukrani ya Punda ni mateke

    Vijana wa CCm bwana mnahangaika sana na munapoteza mda wenu. ila endeleeni kuchapa kazi hamtokosa teuzi miaka ya mbele kama bado mutakuwa mnajulikana
  14. Mzee_Wa_Conspiracy

    MAALIM, UNA MKATE GAEN

    * _Anaandika Mh. Othman Masoud, Aliekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar_* ______________________________ *MAALIM, UNA MKATE GAENI* Leo nimetafuta muda nikasoma kwa kituo taarifa iliyochapishwa hivi karibuni na Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia tasnia ya ubunifu na uvumbuzi linaloitwa kwa...
Back
Top Bottom