Maalim Seif kuhamia ACT Wazalendo badala ya CHADEMA; Shukrani ya Punda ni mateke

masare

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
1,231
1,362
Wanabodi;
Kuweka kumbukumbu sawa,ikumbukwe katika chaguzi zote za uchaguzi mkuu za mwaka 1995,2000,2005,2010 na 2015 CHADEMA hawakusimamisha mgombea urais kwa upande wa Zanzibar na walitangaza dhahiri kumuunga mkono Maalim Seif katika chaguzi zote hizo.

CHADEMA walisisitiza kuwa kura za wanachama ,wapenzi na washabiki wao ziende kwa Maalim Seif.

Nakumbuka mwaka 2005 kwenye uchaguzi mkuu CHADEMA walimsimamisha Freeman Mbowe kugombea urais kwa upande wa Tanzania Bara.Mbowe alisafiri hadi Zanzibar kwenda kumnadi Maalim Seif hususani kwenye siku za uzinduzi na ufungaji wa kampeni za urais za CUF.

Ilihitaji roho ngumu kwa Mbowe kuacha kuendelea na kampeni zake za Urais huku Tanzania Bara na kwenda Zanzibar kumsapoti Maalim Seif.

Nakumbuka vilevile kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 wakati CHADEMA kikiwa bado chama kichanga kilitangaza waziwazi kushirikiana na CUF kwenye baadhi ya majimbo ya uchaguzi ambapo kwa yale majimbo ambayo Chadema haikusimamisha wagombea walitangaza kwamba kura za wanachama na wapenzi wa CHADEMA ziende kwa wagombea wa CUF.

Vilevile kwenye chaguzi za serikali za mitaa CHADEMA walikuwa wakisisitiza kuwa sehemu ambazo hakuna mgombea wa CHADEMA basi kura zote ziende kwa wagombea wa CUF.

Haihitaji kuwa na PhD kujua ni jinsi gani Chadema kimekuwa kikimsapoti kwa hali na mali Maalim Seif Shariff Hamad katika harakati zake za kisiasa huko Tanzania Visiwani.

Kwa mshangao wa wengi Maalim Seif amehamia ACT chama ambacho hakina hata miaka mitano ya uhai wake,chama ambacho hakijawahi kumsapoti kwa aina yoyote(kumbuka AcT hawakuwepo kwenye mwamvuli wa UKAWA).

Hii ndio yathibitisha kauli ya wahenga "shukrani ya punda mateke"

TIME WILL TELL
 
Wewe utakuwa muajiriwa wa Lumumba tu sio bure. Sasa mushavhanganyikiwa kwa sababu hesabu zenu zimeenda ovyo. Mulitegemea maalim ataenda CDM ili mupeleke attention yenu sehemu moja mukizoofishe lakini sasa muna vyama viwili vikubwa hamujui mushike kipi!

Maalim kwenda ACT kapata baraka zote za CDM na ni advantage kwa upinzani. Kazi kwenu
 
Haya maneno hayana msingi wowote, Maalim aliulizwa hili swali alijibu vizuri tu kwamba aliamua ACT Wazalendo kwasababu walikuwa na masharti rahisi.

Chadema Kule zanzibar tayari wana uongozi wao, wana ofisi zao, kuna Makamo Mwenyekiti (Mhe. Said Issa Moh'd) ambaye kama chadema wataamua kumsimamisha kugombea urais wa Zanzibar wanaweza kufanya hivyo pia huyu analipwa mshahara, na sio huyu tu wana Makatibu na manaibu Katibu wa Kanda wote hawa wapo kwenye ajira sasa kama uongozi wa maalim seif ungekuja kuingia hapa tayari kuna watu ambao waliijenga Chadema kitambo wangekosa ajira, mgogoro ungeanzia hapo.

Lakini amini usiamini maamuzi ya maalim seif ni sahihi zaidi ya 100% kwa vile woooooote hawa 2020 wataenda kukutana mbele ya safari kuunda UKAWA mpya ili kuongeza unguvu maeneo matatu zaidi ambayo watawala walikaa na kujaribu mbinu za kudhibiti upinzani lakini likely wamefeli kuliko kufeli:-

1. ACT Wazalendo itatengeneza majimbo mengi (Wabunge) kule bara tofauti na sasa ni Zitto Kabwe tu, ACT kitakuwa chama kikubwa zaidi cha upinzani ambacho wabunge wote toka Zanzibar wataiwakilisha ACT ni hatari mkuu.
2. Kuna Majimbo ambayo Chadema wana Nguvu zaidi pia wataachiwa Chadema kama kawaida
3. Kule Zanzibar 2020 ndio mwaka wa ushindi zaidi Wazanzibari wana uchungu maradufu na kwa taarifa yako hamasa imeongezeka 100 time more. inasemekana ni kimbunga.

Kama utafuatilia zaidi baada ya maalim kujiunga ACT Wazalendo upande wa pili bado ni kimya wanaonekana mara kadhaa kutofurahishwa zaidi na zaidi na wala hawakutegemea kilichotokea.
 
Wanabodi;
Kuweka kumbukumbu sawa,ikumbukwe katika chaguzi zote za uchaguzi mkuu za mwaka 1995,2000,2005,2010 na 2015 CHADEMA hawakusimamisha mgombea urais kwa upande wa Zanzibar na walitangaza dhahiri kumuunga mkono Maalim Seif katika chaguzi zote hizo.

CHADEMA walisisitiza kuwa kura za wanachama ,wapenzi na washabiki wao ziende kwa Maalim Seif.

Nakumbuka mwaka 2005 kwenye uchaguzi mkuu CHADEMA walimsimamisha Freeman Mbowe kugombea urais kwa upande wa Tanzania Bara.Mbowe alisafiri hadi Zanzibar kwenda kumnadi Maalim Seif hususani kwenye siku za uzinduzi na ufungaji wa kampeni za urais za CUF.

Ilihitaji roho ngumu kwa Mbowe kuacha kuendelea na kampeni zake za Urais huku Tanzania Bara na kwenda Zanzibar kumsapoti Maalim Seif.

Nakumbuka vilevile kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 wakati CHADEMA kikiwa bado chama kichanga kilitangaza waziwazi kushirikiana na CUF kwenye baadhi ya majimbo ya uchaguzi ambapo kwa yale majimbo ambayo Chadema haikusimamisha wagombea walitangaza kwamba kura za wanachama na wapenzi wa CHADEMA ziende kwa wagombea wa CUF.

Vilevile kwenye chaguzi za serikali za mitaa CHADEMA walikuwa wakisisitiza kuwa sehemu ambazo hakuna mgombea wa CHADEMA basi kura zote ziende kwa wagombea wa CUF.

Haihitaji kuwa na PhD kujua ni jinsi gani Chadema kimekuwa kikimsapoti kwa hali na mali Maalim Seif Shariff Hamad katika harakati zake za kisiasa huko Tanzania Visiwani.

Kwa mshangao wa wengi Maalim Seif amehamia ACT chama ambacho hakina hata miaka mitano ya uhai wake,chama ambacho hakijawahi kumsapoti kwa aina yoyote(kumbuka AcT hawakuwepo kwenye mwamvuli wa UKAWA).

Hii ndio yathibitisha kauli ya wahenga "shukrani ya punda mateke"

TIME WILL TELL
Chadema wakristo Act waislam ndo mwisho wa sinema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utakuwa muajiriwa wa Lumumba tu sio bure. Sasa mushavhanganyikiwa kwa sababu hesabu zenu zimeenda ovyo. Mulitegemea maalim ataenda CDM ili mupeleke attention yenu sehemu moja mukizoofishe lakini sasa muna vyama viwili vikubwa hamujui mushike kipi!

Maalim kwenda ACT kapata baraka zote za CDM na ni advantage kwa upinzani. Kazi kwenu
We we ni wakala wa Lumumba. Kwa taarifa yako CHADEMA tuna- support fully Maalim Seif kwenda ACT. Waliokutuma ulete mjadala huu ukimbini hapa waambie watafute mada nyingine. Hii imefeli vibaya!
 
Vijana wa CCm bwana mnahangaika sana na munapoteza mda wenu. ila endeleeni kuchapa kazi hamtokosa teuzi miaka ya mbele kama bado mutakuwa mnajulikana
 
Wanabodi;
Kuweka kumbukumbu sawa,ikumbukwe katika chaguzi zote za uchaguzi mkuu za mwaka 1995,2000,2005,2010 na 2015 CHADEMA hawakusimamisha mgombea urais kwa upande wa Zanzibar na walitangaza dhahiri kumuunga mkono Maalim Seif katika chaguzi zote hizo.

CHADEMA walisisitiza kuwa kura za wanachama ,wapenzi na washabiki wao ziende kwa Maalim Seif.

Nakumbuka mwaka 2005 kwenye uchaguzi mkuu CHADEMA walimsimamisha Freeman Mbowe kugombea urais kwa upande wa Tanzania Bara.Mbowe alisafiri hadi Zanzibar kwenda kumnadi Maalim Seif hususani kwenye siku za uzinduzi na ufungaji wa kampeni za urais za CUF.

Ilihitaji roho ngumu kwa Mbowe kuacha kuendelea na kampeni zake za Urais huku Tanzania Bara na kwenda Zanzibar kumsapoti Maalim Seif.

Nakumbuka vilevile kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 wakati CHADEMA kikiwa bado chama kichanga kilitangaza waziwazi kushirikiana na CUF kwenye baadhi ya majimbo ya uchaguzi ambapo kwa yale majimbo ambayo Chadema haikusimamisha wagombea walitangaza kwamba kura za wanachama na wapenzi wa CHADEMA ziende kwa wagombea wa CUF.

Vilevile kwenye chaguzi za serikali za mitaa CHADEMA walikuwa wakisisitiza kuwa sehemu ambazo hakuna mgombea wa CHADEMA basi kura zote ziende kwa wagombea wa CUF.

Haihitaji kuwa na PhD kujua ni jinsi gani Chadema kimekuwa kikimsapoti kwa hali na mali Maalim Seif Shariff Hamad katika harakati zake za kisiasa huko Tanzania Visiwani.

Kwa mshangao wa wengi Maalim Seif amehamia ACT chama ambacho hakina hata miaka mitano ya uhai wake,chama ambacho hakijawahi kumsapoti kwa aina yoyote(kumbuka AcT hawakuwepo kwenye mwamvuli wa UKAWA).

Hii ndio yathibitisha kauli ya wahenga "shukrani ya punda mateke"

TIME WILL TELL
Acha ujuha ,unalalamika nini?,wewe endelea kuwaamini wanasiasa kwa asilimia zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi;
Kuweka kumbukumbu sawa,ikumbukwe katika chaguzi zote za uchaguzi mkuu za mwaka 1995,2000,2005,2010 na 2015 CHADEMA hawakusimamisha mgombea urais kwa upande wa Zanzibar na walitangaza dhahiri kumuunga mkono Maalim Seif katika chaguzi zote hizo.

CHADEMA walisisitiza kuwa kura za wanachama ,wapenzi na washabiki wao ziende kwa Maalim Seif.

Nakumbuka mwaka 2005 kwenye uchaguzi mkuu CHADEMA walimsimamisha Freeman Mbowe kugombea urais kwa upande wa Tanzania Bara.Mbowe alisafiri hadi Zanzibar kwenda kumnadi Maalim Seif hususani kwenye siku za uzinduzi na ufungaji wa kampeni za urais za CUF.

Ilihitaji roho ngumu kwa Mbowe kuacha kuendelea na kampeni zake za Urais huku Tanzania Bara na kwenda Zanzibar kumsapoti Maalim Seif.

Nakumbuka vilevile kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 wakati CHADEMA kikiwa bado chama kichanga kilitangaza waziwazi kushirikiana na CUF kwenye baadhi ya majimbo ya uchaguzi ambapo kwa yale majimbo ambayo Chadema haikusimamisha wagombea walitangaza kwamba kura za wanachama na wapenzi wa CHADEMA ziende kwa wagombea wa CUF.

Vilevile kwenye chaguzi za serikali za mitaa CHADEMA walikuwa wakisisitiza kuwa sehemu ambazo hakuna mgombea wa CHADEMA basi kura zote ziende kwa wagombea wa CUF.

Haihitaji kuwa na PhD kujua ni jinsi gani Chadema kimekuwa kikimsapoti kwa hali na mali Maalim Seif Shariff Hamad katika harakati zake za kisiasa huko Tanzania Visiwani.

Kwa mshangao wa wengi Maalim Seif amehamia ACT chama ambacho hakina hata miaka mitano ya uhai wake,chama ambacho hakijawahi kumsapoti kwa aina yoyote(kumbuka AcT hawakuwepo kwenye mwamvuli wa UKAWA).

Hii ndio yathibitisha kauli ya wahenga "shukrani ya punda mateke"

TIME WILL TELL
Hata chadema isingemuunga mkono seif kwa upande wa zanzibar na pemba seif angeshinda tu. Hata sasa ACT itashinda tu kwa upande wa zanzibar na pemba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom