Sasa jusa akiukana u cuf wake na kuwa chadema maana yake anakuwa chadema wa kufikilika tu au anakuwa cuf wa kufikilika,, na cuf watakuwA hawana mamlaka nae bali kule aliko chukua kadi ndio watammiliki,,,
Nakumbuka baada ya chadema kumpokea alie kuwa mwenyekiti wa vijana ccm mkoa wa arusha kama sitokosea miaka miwili au mitatu ilio pita mbowe alisema awatopokea tena MIZOGA kutoka ccm sasa naona mizoga ndio inayo pokelewa kwa maandalizi ya mikutano mikubwa tu
#nawaza tu, mizoga ikianza kunuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.