Habari wadau, Natumai jumapili imeisha salama, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kwa yeyeyote ambayo anauza au anafahamu naweza kupata wapi Case kwa hd hii anaweza nijuza, mana nimejitahidi kutafuta maeneo ya kkoo bila mafanikio, aliyekuwa nayo na tayari anataka kufanya biashara...
Huyu ndingi alimfanyia umafi wa kutosha mzee Charles Kagonji kwenye Kura za maoni CCM mwaka 2005 na 2010 na alishindwa ila wakubwa ndio waliomtaka kuliko wananchi, Apumzishwe Panapostahili.
Ndugu yetu huyu RC anapataje ujasiri kuongea habari za deni la Mengi kwa Kubenea. Mbona mambo ya ajabu hivi.?Yeye alikuwa mdhamini?Yeye aliyeombaomba alikuwa sahihi?
Ndugu yetu huyu RC anapataje ujasiri kuongea habari za deni la Mengi kwa Kubenea. Mbona mambo ya ajabu hivi.?Yeye alikuwa mdhamini?Yeye aliyeombaomba alikuwa sahihi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.