Mara nyingi nimekuwa nikisema kuwa nchi hii ina wananchi wanaopenda na kushabikia uongo na uzushi bila hata kujipa muda wa kufanya uchunguzi kidogo wa mambo wanayoelezwa na kiongozi ama wa serikali au wa siasa, na hasa mtu huyo akiitwa Profesa au Dokta, au akisema ana elimu ya chuo kikuu ya...
Nchi yetu inakabiliwa na tatizo kubwa kweli, tatizo la wananchi wake kuugua ugonjwa wa uzushi. Uzushi ni ugonjwa unaolitafuna sasa taifa letu. Na bahati mbaya sana ni kwamba wanaoongoza kwa ugonjwa huu ni vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa, inasikitisha sana.
Na vijana wanaoongoza kwa ugonjwa...
KABLA ya kujadili mada hii, nataka niwe mwadilifu na muwazi kwa kutangaza kuwa nina maslahi katika Chadema. Mimi ni mwanachama wa muda mrefu wa Chadema, nilijiunga na chama hiki tangu mwaka 1992, nyumbani kwetu wilayani Kahama, mkoa wa Shinyanga.
Nimewahi kukitumikia chama kama kiongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.