Recent content by mzee wa mbupa

  1. M

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Balozi. Valentino mlowola aliekua cuba naye kapangiwa wapi.?
  2. M

    Urusi na China haziwezi kuiangusha Marekani

    Mbona usa hanna silaha za hypasonic missile pamoja nakuwa base kila kona nabajeti kubwa ya kijeshi?
  3. M

    Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 kutoka kwa Barick Gold Mine

    Hebu tuweke wazi hiyo M.RAMEK ESTER BIG STAR ni kitu gani?
  4. M

    Marekani kutomruhusu Zelensky kukubali mpango wa amani wa China

    Putin alihojiwa na mwandish i mmoja wa habari akaulizwa . Kwanini hii vita au operashen haikuanza 2014 ? . Akajibu wao urusi walikua bado kumalizia kujiandaa hasa kwenye mifumo ya pesa na silahà kama hypersonic missile .kwa sababu wakifanya hivyo watawekèwa vikwaxo kila aina na kama...
  5. M

    Marekani kutomruhusu Zelensky kukubali mpango wa amani wa China

    Tuwe tunaangalia taarifa za kutoa humu . Kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu 2 tofauti.
  6. M

    Marekani yaionya China kuwa Itakabiliwa na vikwazo kama itanisaidia Urusi Silaha

    Marekani hajapigana vita afaghastan na irak. Au israel utasema anapigana vita na wapalestina ? Russia ndiyo anapigana vita pale ukrein .piga nikupige . Marekani alipigana vita na vietinam tu .nahakushinda. tokea hapo hajaenda front tena
  7. M

    CHADEMA Sumbawanga pigo jingine kwa wale Wengine

    Kama hakuna chama kikubwa cha upinzani kuliko vingine itisha mkutano kesho ndiyo tujue nani mkubwa.
  8. M

    Hivi mpaka sasa kuna mtu hamwelewi Rais kweli?

    Ubora wa uraisi wa samia pita mitàani ongea na wanainchi kuhusu rais wao ndio utapata jibu kuhusu rais wetu samia
  9. M

    Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

    Hiyo siri ya safari ya biden tunaona sisi. Unafikiri urusi hajui., ? Urusi anajua kilakitu . Kajua leopard zimefika ukrein ashindwe kujua safari ya biden kutokea poland?
  10. M

    Spika Tulia asema wanaofichua maovu kwa njia ya mitandao walindwe badala ya kuwazuia kwani ndivyo inavyofanyika duniani kote!

    Sasa hivi watawala akili zimerudi.kwakauli hizi usingesikia zile enzi za jiwe mpaka huwa siamini.
  11. M

    Mgogoro wa Lissu na Mbowe, Mzee Edwin Mtei aingilia kati

    Alishindwa jiwe .kuisambaratish chadema mtaweza nyie chawa wakijani? Chadema inazidi kupaa na hakuna mgogoro napia tunamsubiri lema Kama kufukuta basi pangewaka enzi ya jiwe tu.
  12. M

    Netanyahu anaangalia uwezekano wa msaada wa kijeshi wa Israel kwa Ukraine

    Hiyo ni baada waziri wa mambo ya nje wa marekani kutembelea israel juzi . Leo anaibuka netayahu nakusema yuko tayari kuwa mpatañish kati ya russia na ukrein. Hapo kamchezo gani kanaendelea.,? KARIBUNI.
  13. M

    Habari na picha: Rais wa Mchongo wa Palestina akiwa na Waziri wa Marekani

    Huyo ni mahamood abbas . Ameshika wadhifa huo toka kwa nasir arafat alipofariki dunia. Sijui kama ulikua umezaliwa kweli.
  14. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Bado sijaona mafanikìo wanayopata ukrein pamoja na kupewa vifaa vingi vya kivita.urusi imeshasema hio misaada haitabadilisha chochote vitani .maana yake kipondo kiko palepale na maeneo xaidi yanachukuliwa
  15. M

    UCHAMBUZI: Kifaru cha Leopard 2 ni hatari kwa Urusi

    Hizo silaha mbona washapeleka nyingi tu ukrein. Hatujasikia zimekomboa majimbo mangapi
Back
Top Bottom