Kwahiyo tununue zile za getini Hospitali kama walizifua usiku wakazianika kisha wakazipiga pasi wakatuletea kutuuzia getini unaona itakuwa sawa mkuu???
Aisee Serikali waingilie hili mara moja tutakuwa tunatafuta mchawi bila kujua kumbe mzigo unakuwa upo getini tunauamishia ndani hospitali, Waziri wa Afya tafadhali tunaomba majibu ya jambo hili mara moja au mtuambie wanazipata wapi hawa watu wanaouza hizi barakoa nje ya Hospitali
Nimepita pale KCMC barakoa zinauzwa kama nyanya pale getini, nimepita Benjamini Mkapa napo hivyo hivyo na sijajua kama na Mwanza pale Bugando hali ipo hivyo, hivi leo hii Serikali inafumbia macho wauza barakoa nje ya Hospitali halafu mnatafuta mitungi ya gesi, hivi mnajua ubora wa hizo barakoa...
Hakuna cha kujitafakali maana ukiona Askofu anasalisha huyo mtu ni level yake,jitaidi na wewe kabla hujafa ufanye jambo ambalo Taifa litaguswa nalo,wewe ukae tu mashambani uko kisha unataka ukifa Askofu aje kukuzika.
Usikimbilie kusema washauri wanampotosha,jaribu kujiuliza ametumia variables zipi na tools gani kumpa hypothesis yake kuwa Null,pengine ametumia Stata,SPSS,SAS au data zake ametumia time series au panel data ndiyo uje na conclusion yako.
Hapo saba saba nilifika yaani nikashangaa sana kama kuna watu wapo ofisini wanazunguka zunguka na viti wakisema pale ndiyo stand ya daladala,Mhe Rais Daktari John Pombe Mgufuri anajitaidi sana kwenye maendeleo ya wananchi lakini nadhani wasaidizi wake awamuelewi anataka Tanzania ya aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.