Sijawahi kujuta tangu nianze kununua hisa na kwa sasa nime nunua za kutosha kwa kuwa ndio biashara ninayoiweza naamini hao walio kushauri uachane nazo hawazijui. Lakini kama ukiwa na WASI WASI kwa kuwa zikiingia sokoni mwezi ujao tar 16 bei ilivyo panda utaiona kupitia simu yako ya kiganjani...
CDS ni akaunti ambayo kwa kirefu ni "Central Depository System"
Ni akaunti ya Usajili ili utambulike kama Mnunuzi
Unaifungua kwenye mtandao na hakuna gharama kuifungua
Breaker wapo zaidi ya kumi wengi wapo. Mtaa wa Samora Dar Es Salaam ila yupo wa Serikali anaitwa TIB Investiment kampuni dada...
Salaam, huyo alikudanganya kama hadi leo huja nunua jitahidi ununue. Ni biashara nzuri mimi ndio biashara ninayo fanya. Ukihitaji Fomu naweza kukutumia ukijaza una scan kitambulisho tunatuma kwa wakala wa Serikali TIB INVESTIMENT kisha una weka fedha Benki inayogawanyika kwa 850 (nyingi kwa...
Jitose huu ndio wakati wa kununua nenda kwa Mawakala wote wanakiri mwamko wa ununuzi ni mkubwa Nina hakika mwezi wa tano zikiingia sokoni kama sikosei tar 16 zitapanda mara mbili au zaidi. Kama umenunua za 8,500,000/= utapata 17,000,000/=. Hautajuta ukinunua hisa za awali (IPO). Barikiwa
Soko la Hisa kushuka si jambo la kushangaza kwa sasa watu wengi wana nunua bidhaa iliyopo Nje ya soko (hisa za voda) hivyo zilizopo sokoni watu hawa nunui. Kilichofanyika kati ya mwezi wa 11&12 hadi wa mwezi wa kwanza watu wengi wenye mitaji midogo waliuza Hisa zao ili wapate fedha za kununua...
Kwanza hao Rasilimali LTD ni kampuni dada ya Benki ya Rasilimali ambayo ni ya Serikali hivyo kufilisika si rahisi na kinachofanyika wao ni wakala wa kuuza na kununua Hisa mbalimbali na wakati wa kuuza hukata asilimia mbili kwa ajili ya kuendesha ofisi hivyo kwa wao kufilisika si rahisi kwa kuwa...
Nakushauri uende kwa RASILIMALI LTD wapo mkabala na Benki ya Mkombozi Jengo la Samora Tower ghorofa ya 7. Hao kwa maoni yangu watakufaa. Unaweza kuwasiliana nao na ukanunua On line. Barikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.