Recent content by Mzee Mwanakijiji

  1. Mzee Mwanakijiji

    UAE umepokea simu kutoka kwa rais wa Tanzania akilaani shambulio Dhidi ya Iran

    Mbona kichwa cha habari hakiendani na ujumbe wenyewe au lugha gongana?
  2. Mzee Mwanakijiji

    Jaji Mkuu anajua nini cha kufanya kupata mabadiliko ya moja kwa moja

    Aisee hizi hotuba zao zinakuwa nibza kisiasa sana. Yaani zisikike vizuri na yeye aonekane ni wa tofauti. Lakini kama unavyosema yeye nonetheless mfano na wenzake mahakama ya rufani huko
  3. Mzee Mwanakijiji

    Swali Fyatu: Mbona kama wanajitahidi mno Kujipodoa?

    Nimeandika wazo langu vizuri sasa; nilikuwa naandika kwa haraka kidogo liliponijia...
  4. Mzee Mwanakijiji

    Swali Fyatu: Mbona kama wanajitahidi mno Kujipodoa?

    Na. M. M. Mwanakijiji Wanataka waendelee kututendea kama hawatupendi, lakini wanataka tuwatendee kama tunawapenda. Wamekuwa ni kama yule mwanamke mgomvi ila mrembo. Ukimuona kwa mbali na kwa karibu unaweza kujikuta unasema kama alivyosema Ice Cube na Chris Tucker kwenye ile filamu ya kuchekesha...
  5. Mzee Mwanakijiji

    The Watchers: Salamu Toka ICC..."Tread Careful"

    Kwa mfumo wetu ni Bunge tu linaweza kumwajibisha Rais siyo mahakama.
  6. Mzee Mwanakijiji

    The Watchers: Salamu Toka ICC..."Tread Careful"

    Kabla ICC haijaamua kumuindict mtu pale ushahidi wa kutosha upo wa vitendilo vya uhalifu inayoa nafasi kwanza kwa vyombo vya ndani kushughulikia. Mkutano wa Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC ulikuwa ni kutoa nafasi kwa serikali kuelezea nini kinafanyika kuwawajibisha wote waliohusika na mauaji na...
  7. Mzee Mwanakijiji

    The Watchers: Salamu Toka ICC..."Tread Careful"

    Salamu zitafika tu....baada ya kuzurura kule..naona majibu yanajaribu kutolewa
  8. Mzee Mwanakijiji

    Prof. Tibaijuka: Nilipendekeza iundwe Tume ya Kijaji, ingepunguza kelele za ICC kuliko tume ya Rais matukio ya Oktoba 29, 2025

    Hapa ndiyo unaona kwanini hii Tume ya Chande haikidhi kabisa matakwa ya kushughulikia matukio ya Oktoba 29. Kuipa ushirikiano wowote tume hiyo ni kuipa uhalali isiyokuwa nao.
  9. Mzee Mwanakijiji

    Ndele: CCM inakerwa sana na Ufisadi, ubadhilifu wa mali za umma, na inachukia uonevu wa watu

    Embu tuacheni jamani....hata kutuonea huruma na aibu hamuwezi?
  10. Mzee Mwanakijiji

    Wizi wa Watoto Wakati wa Kujifungua Hospitali Zetu Kubwa

    Labda swali ni kama wewe na mwenza hamjajaliwa watoto mko tayari kwenda umbali gani kupata mtoto?
Back
Top Bottom