Binafsi sijaridhishwa na mwenendo wa Mahakama zetu na jinsi walivyoweza kuendesha hii kesi.
Kuna Watanzania wengi sana wameua bila kukusudia lakini wamekaa ndani kwa miaka mingi sana bila kupewa dhamana wala kesi zao kuendeshwa kwa haraka kama ilivyofanyika kwa Lulu binti anayeonekana anao...
WASIFU WA MTANGAZA NIA
MAELEZO BINAFSI
Jina: Ahadi Asajile Mtweve
Kuzaliwa: 29/09/1981
Mahali Pa Kuzaliwa: Mahanji - Matamba, Makete
Hali ya Ndoa: Nimeoa na nina watoto wawili
Kujiunga na Chama: 11/4/2007
Simu ya mkononi: 0764660220, 0715365850
Email: amtweveone@gmail.com...
Habari hizi si za kweli nadhani mreta mada ameamua kumpigia debe Ahadi Mtweve. Hakuna chombo cha habari kinachomzungumzia hata kimoja na wala si facebook wala WhatsApp wanaomwongelea.
Mimi binafsi ni mwenyeji wa Wilaya ya Makete na vile vile nipo kwenye mitandao karibu yote ya watu wenye...
Duh! Chama Kingine cha KIDINI. Bendera NYOTA na MWEZI. Viongozi wote FATMA, ZAINABU, MOHAMED, JUMA. Kazi ipo mwaka huu nahisi tutakuwa na miaka mingine kumi ya kuongozwa kidini. Mashirika yote ya Serikali tutajenga Misikiti na wafanyakazi wote lazima wavae kanzu na hijabu. ISLAM AT WORK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.