Hili jamaa limepata kilichostahili.
Hawa jamaa wote walikuwa matapeli wazuri. Na mara nyingi waliwatapeli wageni kutoka nje. Siku hiyo walikuwa wamepiga dili kama USD 70k, kwenye mgao walikwepana kiswahili.
Juma4 alitaka pesa nyingi kuliko wenzake, mzozo ulianzia hapo. Na hii Habar naona...
Fuatilia elimu ya Finland, India na Taiwan. Hata hapo Kenya nadhani, japo sina hakika.
Kipimo cha elimu hakipimwi kwa mtihani kuimpact skills ni jambo muhimu kwa watu wote. Kuliko karatasi unayikalili bila kuelewa ilimradi tu, ujibu mtihani.
Vitani ilikuwa ni lazima! Kuingia Kagera na kuteka raia, kisha kuwaua huku akitangaza mkoa wake, ilitosha kumsulubu. Hayo ya kuweka vichwa vya watu walisema wenyewe waganda, hatuwezi kuyaingilia, maana wao ndo walimfahamu baada ya kufanya mapinduzi.
Ila kupigwa ilikuwa lazima apigwe. Kagera ni...
Nyumbani kwako ujauzito wa mkeo na mtoto wako mchanga, kumeathiri vipi familia yako, hasa watoto wako ambao wanaenda shule wanarudi nyumbani kuna mzazi/mjamzito?
Kama taifa tuko hapa kwa sababu sisi ni wajanja kupitiliza na wale werevu hawatakiwi kwenye jopo la wanjanja waliopitiliza na ambao ndiyo wamekalia keki.
Tutabaki masikini daima.
Bahati mbaya sana umekuwa mjinga zaidi yangu.
Umeshindwa kutumia akili ndogo tu, kujua upo kwenye asilimia tano ya wale ambao wapo wapo, hawajui wasimamie wapi; kwa mabeberu ama kwa MATAGA.
Tuwape elimu bila kuwabagua.
Kwa mara ya kwanza nimeanza kuona Watanzania wamechoka na matamko yenye kuwaminya. Watanzania wamechoka kutumiwa kwa kudanganyiwa unyonge.
Unaweza kukubali ama kukataa, lakini nimeona na nimesikia, idadi kubwa ya Watanzania wanyonge wamefurahi nchi yao, kunyimwa mkopo na Bank ya Dunia...
Nawakumbusha tu ndugu zangu. Tena ndugu ambao mnauchungu na yanayoendelea kwenye chaguzi ndogo, ambayo tunayatarajia kwenye chaguzi kubwa mwakani.
Tanzania ni nchi ya vyama vingi, lakini watanzania wengi tunaiangalia Chadema zaidi kuliko vyama vingine. Act inajitutumua lakini bado haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.