Ushauri wa bure kwa Diamond; anza kuwa na account za siri ambazo utaficha sehemu kubwa ya pesa zako, sasa hivi wote Zari na Hamisa wana nyenzo kubwa za kukunyonya mpaka damu yako ya mwisho, take this very seriously, never ever underestimate women.
Hivi vyama vya wafanyakazi Tanzania navishangaa sana, tunakatwa mshahara kuvilipia ili vitutetee lakini havifanyi hivyo. Najaribu kutafakari maamuzi ya serikali ambayo yalipaswa kuwasha moto kwenye vyama vya wafanyakazi lakini viko kimya
Kusitishwa kwa ajira kwa watu waliokuwa wameshapewa barua...
Huo ushauri unngempa Mbowe maana ndo aliwafukuza kina Zito, Kitila, Mwigamba, Shonza, Mchange etc bila kuwasikiliza. Hawa wanaotumbuliwa ni kwamba wanasimamishwa kupisha uchunguzi, wakibanika na hatia watapelekwa mahakamani ambapo watasilizwa sana tu, la kama hawana makosa watarudi kwenye...
Mbowe inabidi achunge kauli zake, kwa sababu zinafanya wapinzani waonekane watu wa ovyo. Bado tunahitaji upinzani imara unaoungwa mkono na wananchi wengi.
Swala la rais wetu kuwa mzurulaji lilishakuwa established na kila mtu analifahamu, lengo letu ni kuwa na chama kitakachotupatia viongozi ambao hawarudii hilo kosa. Sasa CDM hata kabla ya kuingia madarakani wanafanya makosa yaleyale ya CCM, wakipata madaraka si itakuwa shida zaidi?
Hii siyo makala yangu mkuu, ni makala iliyoandikwa na Johnson Mbwambo kwenye gazeti la raia mwema. Mimi nimepost tu baada ya kuona kuwa alichoandika kina-make sense.
NIANZE kwa kuweka bayana mapema kabisa kwamba sikubaliani na wale wote wanaoamini ya kuwa muda haujawadia kwa Watanzania kuanza kutafakari kuhusu mtu anayefaa kuwa rais wao mpya ajaye. Au wale wanaowabeza na kuwakatisha tamaa wanaotangaza mapema nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.