Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Kwanza unajichanganya mwenyewe ooh mafundi wanajenga, vilivypo havitoshi mimi nilijua hakuna kabisa. Achana na siasa maji taka jenga nchi yako nasi kilakitu kuponda tuu.
nikionacho mimi hizo ni lawama zisizo na msingi somesheni watoto shule na si kucheza vigodoro halafu utegemee mtoto wako atakuwa mkaguzi wa shule au mkurugenzi wa taasisi fulani ni ngumu. mkapa kawapa chuo morogoro mmeshindwa kukiendesha hata kupaka rangi tu majengo mmeshindwa mnakuja kulalama...
mbeya ni jiji kubwa kuliko mwanza na Arusha sema mbeya na arusha hazina miundombinu japo mbeya kwa sasa wamejitahidi. Arusha ni jiji linalojengwa na serikari lakini mwanza na mbeya wenyeji ndiyo wanao jenga jiji huo ndiyo utofauti uliopo. Tanga ni jiji ambalo halikustahili kupewa jiji ila kwa...
sema kama na wewe ulipata mgao maana naona unatokwa na povu hatari. kila nyaraka au vidhibitisho vya ukawa ni kweli tupu. subiri hii escrow bado haijaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.