Recent content by Mzashonga

  1. M

    Malipo ya mfanyakazi wa saluni

    asante kwa msaada wako, umenisaidia kwa kiasi fulani
  2. M

    Malipo ya mfanyakazi wa saluni

    Habari wana jamvi, Naomba msaada kwa wanaofahamu, malipo ya mfanyakazi wa saluni ya kike yanakuaje na utaratibu mzima unakwenda vipi?
  3. M

    Msichana wa saluni anahitajika

    Habari zenu wanajamvi, Natafuta msichana wa kufanya kazi saluni ya kike. Vigezo Umri kuanzia miaka 20 mpaka 35 Awe anajua kusuka, kueka dawa, kuset, kufanya facial. Awe anaishi maeneo ya karibu na Tandika (sio zaidi ya daladala moja toka alinapoishi mpaka Tandika). Muaminifu na mwenye...
  4. M

    Maji maji ukeni kama mtindi yananikera, je ni uchafu? nahisi kumuacha

    mwanamke asipojisafisha vizuri kabla ya kuanza game uo mtindi ni lazima utokeze, unakua ndani sana so wakati unamgegeda unakua kama unauchomoa na ukimtaarisha na yale maji maji colorless yakianza kutoka hawezi tena kujisafisha so umshauri ajisafishe before hamjaanza kitu... sio ugonjwa uo.:flypig:
  5. M

    Wataalamu nisaidieni

    nashkuru
  6. M

    Wataalamu nisaidieni

    asante sana kwa dua na ushauri
  7. M

    Wataalamu nisaidieni

    unavofikiria sivo ilivo, sijawahi kutumia izo dawa toka nizaliwe...
  8. M

    Wataalamu nisaidieni

    cjawahi kutumia dawa izo because sina mda mrefu toka kuolewa na sijapata mtoto bado
  9. M

    Wataalamu nisaidieni

    asante sana ndugu yngu
  10. M

    Wataalamu nisaidieni

    nashkuru kw kunipa uono, ntafanya ivo
  11. M

    Wataalamu nisaidieni

    nimeonana na doctor ambae amewahi kumtibu rafiki angu tatizo kama langu na ndo alinipa dawa for the first time lakini hazikunisaidia
  12. M

    Wataalamu nisaidieni

    nashkuru kwa ushauri
  13. M

    Wataalamu nisaidieni

    flow ni ndogo mno, some times hamna kabisa but haimalizi siku bila kutoka
  14. M

    Wataalamu nisaidieni

    Mimi ni mwanamke mwenye mume, huu ni zaidi ya mwezi wa pili npo kwenye hedhi nimefanyiwa ultrasound sina tatizo nimetumia dawa za hospital bado, za kienyeji bado tatizo linaendelea...... Mume wangu ananihitaji ata mi nahitaji kitu roho inapenda lakini nashindwa..... Nisaidieni nifanyeje, au...
Back
Top Bottom