Sadam na Iraq hazikuvamiwa sababu ya utawala wa mabavu au silaha za hatari. Bali sababu halisi ni kuwa Sadam na nchi yake walikataa system ya kuuza mafuta kwa kutumia dola na wakaanza majaribio ya kuuza mafuta kwa kutumia pesa ya Iraq.
Wa america waliogopa kama watamwacha Saddam na Iraq...
MAZINGAOMBWE YANAYOTOKEA UTURUKI.
Tarehe 16-17 mwezi wa saba mwaka huu dunia ilipata mshtuko baada habari za kuwapo
Kwa jaribio la kupindua nchi uturuki kupitia vyombo mbalimbali vya habari duniani na baadae zikaenea habari kuwa jaribio hilo limeshindwa.
Itakuaje kama ntakwambia kwamba...
By; RASHID S. MBEGU
“Sasa nafurahi mkoa wangu ndo umekuwa wa kwanza kutekeleza, katika matembezi yangu haya wamenipeleka katika shule moja ya msingi pale chang’ombe. Nikafurahi sana kwa yale niliyoyaona. Na nina uhakika hawakunidanganya, wangenidanganyaje? Nimekuta wanafunzi wanashona nguo za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.