Na washkaji wa Nigeria kwake sio number one wa kumpeleka madukani Sauzi beach kununua vifaa vya ujenzi zaidi ya kutumia bidhaa halisi za Kitanzania kuonesha ana upendo na cha kwao.
Kaja Dar kuleta zawadi na kuwaambia utamu wa zabibu atarudi kulepeka dawa za vichaa pale milembe maana taarifa iliyotoka kila walipo Watz 4 basi mmoja kichaa na nahisi atarudi na kufuatana na yule wa buguruni pale akapewe matibabu.
Wengine tunapochangia mada tunakuwa tunasema kwa kuangalia dunia kwa ujumla wake sio kusema kwa rejareja.
Ushauri wako mzuri ila mfano wako mbovu kwa wasanii wa hela za madafu.
kweli Watanzania vilaza hii comment nimeikuta jana kwenye page ya mzazi will kule FB wewe umefanya copy n paste na kujifanya kama yako nahisi hata hiyo lugha ya malkia inakupa shida mashabiki wa domo wengi
wanatumiwa kwa tigo 4G.
sanii lake Domo haliwezi kupiga show live bila ya playback .
Watoto jamaa matako sana pale WCB.
Hata kwenye Ziff tamasha la
majahazi hawaitwi coz hawana sifa.
No 1 kaiba kwa baba levo.
Eti msanii domo wakati Davido kasema
nigeria mpka Tanzania atamfanya kuwa maarufu
na akakubali kuwekwa...
Mbaya zaidi wanapeana hela pale nyumba nyeupe anaweka mfukoni bila ya risiti .
Tushakunywa Pombe tunapigana mitaani bila ya Suluhu kupona labda Majaaliwa yake maanani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.