Recent content by mzalendo01

  1. M

    Ambae aliwahi kukopeshwa pesa na hawa wanaojiita Islamic bank atoe ushuhuda hapa

    Mm nimewahi kukopa kwao unaenda na bei za huyo suppliers wao wanamlipa au unaweza kuwaomba uchukue hela uingie mtaa ukatafute mwenyeo suppliers watakudai risiti na document za manunuzi uzuri wa majamaa wanaelewa sana ukizingua marejesho
  2. M

    Baada ya kuishi naye zaidi ya mwaka, nimegundua ana mtoto wa miaka 9!

    Mkuu piga chini hio mAma kwanza hairisha mipango yote ya ndoa huyo ni muongo na single mama wengi ni waongo na wana tabia ya kuficha makucha hadi utakapowaweka ndani kama amekudanganya kwa vitu basic kama umri wake ujue kuna mengi tu anakudanganya Shtuka mkuu
  3. M

    Mshabiki mwezangu wa soka, unamzungumziaje Clotous Chota Chama?

    Chaaaaaaama leo hakuwa na mchezo mzuri na nilizani kadevu atamtoa ili aingie fundi haruna nyonzima fabregas lakini uchebe akanambia subiri nikuoneshe nini namanisha akamuita nje super engine Emanuel anord okwi na kweli hesabu haikudanganya ni vile alipokea pass marizawa triple c akamuangalia...
  4. M

    Siddi community waswahili walogeuka kuwa wahindi

    Nimeona hii lakini sio National Assembly ni baraza la state assembly kule wanaishi kwa state kama marekani lakini pia itawaseidia pia mwaka huu wamepata advocate wa kwanza katika history of siddi nahisi stage ya kwanza wanaotakiwa kufanya ni kutambulika ndani na nje ya India kuna watu pale pale...
  5. M

    Siddi community waswahili walogeuka kuwa wahindi

    Fact mkuu nowadays media zote inaisema Vibaya S.A ni kweli imefika muda wasouth wamejitambua tatizo la jamii hii ya siddi hawajasoma,wapo wachache,hawana uchumi wala exposure ni ngumu sana kujikomboa
  6. M

    Siddi community waswahili walogeuka kuwa wahindi

    Asante mkuu kwa taarifa kwa kweli hawa watu wanakumbana na ubaguzi wa hali ya juu Jambo ambalo linawafanya wanashindwa kukaa mji ambao sio wa kwao wao waishi sehemu ya mji wao tu wanafikia hadi kuuliwa
  7. M

    Siddi community waswahili walogeuka kuwa wahindi

    Ukombozi ninaotaka mimi ni tofauti na wanaotaka wao mimi kama mtanzania ni kuamua tu sijaamua kuwa huru kwa kiasi ninachotaka siku nikiwa na utayari leo kesho nakuwa huru na kwa my case najua ninachotaka siko tu tayar kukipata kwa hawa ndugu zetu hawajui hata nini wanakitaka kwahio you can...
  8. M

    Siddi community waswahili walogeuka kuwa wahindi

    Mkuu nahisi kuna jitahada zinahitajika kufanya hii jamii ya waafrika wenzetu itambulike wanapitia ubaguzi mkubwa kama mtu ana taarifa zaidi kuhusu hii jamii aweke watu wahzidi kujifunza
  9. M

    Siddi community waswahili walogeuka kuwa wahindi

    Jamii ya watu wa Siddi ni watu wenye kupatikana India katika mji wa Gujurat na karnataka Siddi community ni jamii iliyo nyuma sio kimaendeleo tu hata kielemu na kutambuliwa kama jamii ya India ni wahindi wenye muonekano wa kiafrika walioishi India kwa zaidi ya miaka 500 nyuma kwa kweli ni jamii...
  10. M

    Msaada wa kufanya matiti kusimama

    Mazoezi kuepuka kula mafuta sana kama kiti moto coz ukinenepa hapo utasababisha tatizo kukuwa na pia kuepuka kuacha matiti yakining'inia
  11. M

    Swali kwa tume ya uchaguzi

    Juzi Lowasaa akiwa Arusha aliwonya polisi na utawala na dola kugoma kuachia madaraka atakopowaondoa rasmi octoba..na kusisitiza atawashitaki ICC the Hague..Hayajapita masaa 72..Mwendesha mashtaka mahakama hiyo Bi Fatou Bensouda Leo saa kumi jioni amesema yafuatayo..`The ICC is keenly watching...
  12. M

    Nimeacha home 5,000/= ya matumizi nimetupiwa usoni, kwanini?

    Ina maana mkuu hela ya bia ni muhimu kushinda mkeo kuweka saving vikoba?? Den jioni ugonge pombe mm nakuambia soon utaleta uzi hapa tabia za mke wangu sizielewi na ukiona hivo ujue ushachapiwa maana hakuna namna Na achapwe tu maana saving sio kitu kuliko pombe
  13. M

    Updates kutoka Zanzibar: Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA

    Watu wa unguja wanasema mambo yananoga wamasai wote walopewa vitambulisho vya u zanzibar ili wa vote for ccm leo watambulishwa rasmi ukawa zenji
Back
Top Bottom