Majibu ya Myika yako crystal clear. Ili upeleke malalamiko ya forgery unatakiwa kuwa na ushahidi (form za kuteuliwa hao wabunge na barua ya chama).
Kwakuwa form hizo hazikutolewa na CDM au hazikutoka kwa mfumo rasmi yeye Mnyika kama KM hawezi kuwa na nakala zake.
Wamewaomba tume wawape nakala...
Hizo ni propaganda za Nyerere mwenyewe, aliwadogosha wapigania uhuru wote na kujinyanyua yeye tu.
Hata hiyo ya kuleta demokrasia kwani nani aliiondoa? Yaani uue demokrasia mwe
mwenyewe alafu baadae akishamaliza utamu wa madaraka ndio ujifanye 'hero' kwa kurejesha tena ikiwa imejaa vyama...
Ile ni platform inayoaminiwa kuwa haiko chini ya watawala. Hivyo wenye mawazo mbadala wote wanajikuta automatically mioyo yao iko huko.
Ndio maana tunasema hao wanamshauri huyo kiongozi kuwa aifute CDM hawana akili na huyo anayepokea ushauri wa wajinga ni mpumbavu.
Hahahaaaaaa yaani hilo nalo mpaka tume. Hizo tozo na ushuru haukuwekwa kwa bahati mbaya.
Tena mwezi wa sana TPA wanaongeza ushuru mwingine eti "wa kusaidia maendeleo ya bandari", bandari hiyohiyo waliyopewa DP word. Tunawajengea wao wanavuna hela tu.
Mwaka 79 baada ya mapinduzi ya Iran, waliuteka ubalozi wa Marekani. Lakini waliwaacha huru wanawake na watu weusi wote. Walisema mtu mweusi sio adui kwao kwakuwa yeye pia anapitia ukandamizaji wa mabeberu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.