Recent content by Mzalendo Uchwara

  1. Mzalendo Uchwara

    Ridhiwani, January na Mwigulu nadhani huu Ujumbe wenu kutoka kwa Waziri Makonda mtakuwa mmeuelewa vyema kabisa

    Makonda kama ana ulemavu wa ulimi ( tongue tie). It's a miracle he can speak at all. Then akiongea mara nyingi ni pumba tu.
  2. Mzalendo Uchwara

    Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Nimekuelewa mkuu, asante kwa ufafanuzi wa kisheria.
  3. Mzalendo Uchwara

    Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Majibu ya Myika yako crystal clear. Ili upeleke malalamiko ya forgery unatakiwa kuwa na ushahidi (form za kuteuliwa hao wabunge na barua ya chama). Kwakuwa form hizo hazikutolewa na CDM au hazikutoka kwa mfumo rasmi yeye Mnyika kama KM hawezi kuwa na nakala zake. Wamewaomba tume wawape nakala...
  4. Mzalendo Uchwara

    Swali na ANGALIZO: Je ni mkosoaji huru au ni PROJECT inayopelekwa CHADEMA kimkakati?

    She is for real. Wale jamaa zako hawawezi kutengeneza sinema na watu wenye akili nyingi, hata kufanya nao kazi za kawaida tu wanashindwa.
  5. Mzalendo Uchwara

    Tundu Lissu ni kama Nyerere, wakati anapigania uhuru watanzania wengi walikuwa wajinga hata alipotetea demokrasia asilimia 20 walimwelewa Nyerere

    Kwamba akina Kikwete na Samia walikuwa 'wapigania uhuru' wenzake na Nyerere?? Vijana punguzeni bhange.
  6. Mzalendo Uchwara

    Tundu Lissu ni kama Nyerere, wakati anapigania uhuru watanzania wengi walikuwa wajinga hata alipotetea demokrasia asilimia 20 walimwelewa Nyerere

    Hizo ni propaganda za Nyerere mwenyewe, aliwadogosha wapigania uhuru wote na kujinyanyua yeye tu. Hata hiyo ya kuleta demokrasia kwani nani aliiondoa? Yaani uue demokrasia mwe mwenyewe alafu baadae akishamaliza utamu wa madaraka ndio ujifanye 'hero' kwa kurejesha tena ikiwa imejaa vyama...
  7. Mzalendo Uchwara

    Kama penzi liotalo moyoni hufa kwanini CHADEMA haifi?

    Ile ni platform inayoaminiwa kuwa haiko chini ya watawala. Hivyo wenye mawazo mbadala wote wanajikuta automatically mioyo yao iko huko. Ndio maana tunasema hao wanamshauri huyo kiongozi kuwa aifute CDM hawana akili na huyo anayepokea ushauri wa wajinga ni mpumbavu.
  8. Mzalendo Uchwara

    Mama Dorothy Gwajima suala la ushoga hulioni? Mbona linazidi kushika kasi? Umenyamazishwa?

    Unafuatilia hizo habari za nini? Wengi ndio kwanza tunasikia kwako. Wewe ndio unasambaza habari za ushoga hapa. Acha hizo!
  9. Mzalendo Uchwara

    Balozi Sefue: Tume inapendekeza mapitio ya ushuru, tozo na ada zinazotozwa na mamlaka ili kuondoa zinazofanana na kujirudia

    Hahahaaaaaa yaani hilo nalo mpaka tume. Hizo tozo na ushuru haukuwekwa kwa bahati mbaya. Tena mwezi wa sana TPA wanaongeza ushuru mwingine eti "wa kusaidia maendeleo ya bandari", bandari hiyohiyo waliyopewa DP word. Tunawajengea wao wanavuna hela tu.
  10. Mzalendo Uchwara

    Iran ndio Nchi iliokoa Uchumi wa Tanzania wakati wa Msukosuko awamu ya Nyerere na Mwinyi. Ilitusaidia Mafuta na Kutukopesha Matrilioni ya Pesa

    Mwaka 79 baada ya mapinduzi ya Iran, waliuteka ubalozi wa Marekani. Lakini waliwaacha huru wanawake na watu weusi wote. Walisema mtu mweusi sio adui kwao kwakuwa yeye pia anapitia ukandamizaji wa mabeberu.
Back
Top Bottom