Ishu yenye utata zaidi ni kusema kuwa Heche alirudishiwa paspoti yake baada ya kuwasiliana na Mkurugenzi wa Usalama. Lengo la Lema ni nini hapo??
As a matter of fact Idara inamawasiliano active na viongozi wote wa juu wa vyama vya siasa.
Siku hawa wanaharakati wakijua Lissu na Samia...
Polisi wajifunze kusikiliza. Mtu akikwambia mimi daktari nawahi dharura basi uliza kitambulisho kama anacho mwache aende.
Mimi nimewahi kusimamishwa nikiwa na mgonjwa kwenye gari, baada ya kuona jamaa wananipotezea muda nikawasha gari na kuondoka zangu. Bahati nzuri walinipotezea, lakini...
Angekuwa na busara asingegombea 2025.
Bosi wake alifariki katika mazingira yaliyoleta minong'ono kuwa 'imechezwa faulo', sasa hekima hapo ilikuwa yeye amalizie kipindi chao kisha aseme "Kazi mliyotukabidhi 2015 mimi na Bosi wangu tumeimaliza, japo yeye alitwaliwa 2021 lakini nimemsaidia...
Wanaharakati wengi wana personal grievances na serikali na wanajiweka kwenye mwavuli wa CDM kwakua ni chombo kinachoweza kuwasaidia kufikia malengo yao binafsi.
Mwisho wa siku CDM itabaki kuwa taasisi ya kisiasa, hawawezi kuwa wanafanya kazi ya kuwafurahisha wanaharakati muda wote.
Unaweza...
Pamoja na ushenzi alioufanya na anaendelea kuufanya, nadhani ndani ya nafsi yake anahisi "anaonewa". Anahisi CCM na watanzania hawamkubali kwakuwa ni Mzanzibari. Hivyo yeye anjiona kiwa ni victim.
Katiba mpya ipi hiyo? Hawa ACT hawajielewi kabisa. Yaani wapo kwenye ndoa na CCM alafu wanajidanganya kuwa CCM atawapa katiba itakayohatarisha uwepo wa CCM.
Ndugu zangu wakati utafika itatakiwa tu kuupigania uhuru.
Basi tuanze kumwita dada kuwa ni sadaka ili YEYE afanye yake.
Kwasababu ni kanuni ya maisha kuwa jambo baya likifanyika na kukawa hakuna consequences zozote, basi tujiandae kwa mambo mabaya zaidi.
Ndio maana baada ya vituko vya 2019 na 2020, wazalendo walipaswa kufanya jambo. Wakaamua kulinda...
Dhambi ya asili ilikuwa mwaka 1962 Nyerere alipoamua tuwe Jamhuri. Kuwa Jamhuri sio tatizo, ila soma hotuba yake ya kuachia uwaziri mkuu. Utaona malengo yake hayakuwa ya kizalendo kabisa.
Alisema wazi kuwa "sisi (akimaanisha yeye) anataka mkuu wa serikali awe na sifa na utukufu kama wa mfalme...
Kwa Samia i highly doubt if anyone will remember anything good.
Amefanya dhambi ambayo hakuna kiongozi yeyote wa Tanzania amewahi kuifanya.
Na mbaya zaidi hana majuto yoyote.
She will go down as the worst!
Watu wanalipa ila hawafiki kupanda treni. Hauwezi kucheza na mfumo kizembe hivyo ili ufanye udalali wa tiketi kwasababu hapo ukaguzi mdogo tu wa ndani ungeondoka ba kende za watu.
Nimekupata. Unfortunately common cold ni mwavuli tu unatumiwa kuelezea ugonjwa wa mfumo wa hewa wa juu. Kuna zaidi ya virusi 160 vinavyosababisha common cold. Nadhani kupata chanjo hapo ni changamoto. Lakini pia common cold ni ugonjwa nafuu (watu hawaumwi sana wakipata) ukilinganisha na flu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.