Recent content by Mzalendo Uchwara

  1. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Lema amefanya jambo jema, japo....?

    Ishu yenye utata zaidi ni kusema kuwa Heche alirudishiwa paspoti yake baada ya kuwasiliana na Mkurugenzi wa Usalama. Lengo la Lema ni nini hapo?? As a matter of fact Idara inamawasiliano active na viongozi wote wa juu wa vyama vya siasa. Siku hawa wanaharakati wakijua Lissu na Samia...
  2. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Polisi wajifunze kusikiliza. Mtu akikwambia mimi daktari nawahi dharura basi uliza kitambulisho kama anacho mwache aende. Mimi nimewahi kusimamishwa nikiwa na mgonjwa kwenye gari, baada ya kuona jamaa wananipotezea muda nikawasha gari na kuondoka zangu. Bahati nzuri walinipotezea, lakini...
  3. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Kama ni ujumbe wa kitisho basi tumtie moyo na kumuombea Siha njema...kazi hii inayo majaribu mengi sana

    Angekuwa na busara asingegombea 2025. Bosi wake alifariki katika mazingira yaliyoleta minong'ono kuwa 'imechezwa faulo', sasa hekima hapo ilikuwa yeye amalizie kipindi chao kisha aseme "Kazi mliyotukabidhi 2015 mimi na Bosi wangu tumeimaliza, japo yeye alitwaliwa 2021 lakini nimemsaidia...
  4. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Lissu ndiye target, Lema ni amplifier

    Wanaharakati wengi wana personal grievances na serikali na wanajiweka kwenye mwavuli wa CDM kwakua ni chombo kinachoweza kuwasaidia kufikia malengo yao binafsi. Mwisho wa siku CDM itabaki kuwa taasisi ya kisiasa, hawawezi kuwa wanafanya kazi ya kuwafurahisha wanaharakati muda wote. Unaweza...
  5. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 THRDC: Tunaishauri CHADEMA na Tundu Lissu kutafuta suluhu kwa njia ya mazungumzo

    Basi mwenyekiti wa CCM aende Ukonga akazungumze na Tundu Lissu. Alafu hivi wale waliouawa Oct 29 walikuwa CDM eeh? Mna utani na watanzania nyie.
  6. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kumwamini Madeleka. Hata yeye mwenyewe tu anaonekana kazi ya kujipenyeza haiwezi.
  7. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Tangu arudi kukalia kiti , amekuwa mshauri sana

    Pamoja na ushenzi alioufanya na anaendelea kuufanya, nadhani ndani ya nafsi yake anahisi "anaonewa". Anahisi CCM na watanzania hawamkubali kwakuwa ni Mzanzibari. Hivyo yeye anjiona kiwa ni victim.
  8. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Hali ya kisiasa Tanzania haitokuja kurudi kuwa kama ilivyokuwa zamani, kuna mambo yakifanyika huwa hakuna kurudi nyuma.
  9. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Katiba Mpya wale wanaojifanya Miungu watu katika ofisi za Umma watatuheshimu

    Katiba mpya ipi hiyo? Hawa ACT hawajielewi kabisa. Yaani wapo kwenye ndoa na CCM alafu wanajidanganya kuwa CCM atawapa katiba itakayohatarisha uwepo wa CCM. Ndugu zangu wakati utafika itatakiwa tu kuupigania uhuru.
  10. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Baada ya Machawa Majinga Fulani Kumkufuria Kaka, Akayapuuza kwa Kuyanyamazia Aka..., Sasa Yameanza Kumkufuria Dada!, Ayapuuze, Ayanyamazie au Akemee?.

    Basi tuanze kumwita dada kuwa ni sadaka ili YEYE afanye yake. Kwasababu ni kanuni ya maisha kuwa jambo baya likifanyika na kukawa hakuna consequences zozote, basi tujiandae kwa mambo mabaya zaidi. Ndio maana baada ya vituko vya 2019 na 2020, wazalendo walipaswa kufanya jambo. Wakaamua kulinda...
  11. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Muungano, CCM na katiba ya mwaka 1977 ndio maadui wakubwa wa Tanganyika

    Dhambi ya asili ilikuwa mwaka 1962 Nyerere alipoamua tuwe Jamhuri. Kuwa Jamhuri sio tatizo, ila soma hotuba yake ya kuachia uwaziri mkuu. Utaona malengo yake hayakuwa ya kizalendo kabisa. Alisema wazi kuwa "sisi (akimaanisha yeye) anataka mkuu wa serikali awe na sifa na utukufu kama wa mfalme...
  12. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Falme za Israel agano la kale zilikumbukwa Kwa mema au mabaya yaliyotendwa; ndivyo Samia na magufuli watakavyokumbukwa.

    Kwa Samia i highly doubt if anyone will remember anything good. Amefanya dhambi ambayo hakuna kiongozi yeyote wa Tanzania amewahi kuifanya. Na mbaya zaidi hana majuto yoyote. She will go down as the worst!
  13. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Watu wanalipa ila hawafiki kupanda treni. Hauwezi kucheza na mfumo kizembe hivyo ili ufanye udalali wa tiketi kwasababu hapo ukaguzi mdogo tu wa ndani ungeondoka ba kende za watu.
  14. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Lets talk science kwa leo: Kwanini mpaka leo hakuna chanjo ya mafua?

    Nimekupata. Unfortunately common cold ni mwavuli tu unatumiwa kuelezea ugonjwa wa mfumo wa hewa wa juu. Kuna zaidi ya virusi 160 vinavyosababisha common cold. Nadhani kupata chanjo hapo ni changamoto. Lakini pia common cold ni ugonjwa nafuu (watu hawaumwi sana wakipata) ukilinganisha na flu.
Back
Top Bottom