Recent content by Mzalendo-Tz

  1. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu: Tumesitisha Sunday school na Madrasa, tulichoruhusu ni Ibada tu tena zifanyike kwa muda mfupi kisha waumini waondoke

    Ingekuwa zamani za kale wazee au wahenga wangesema kuwa hili ni janga na tufanye matambiko ili lituepuke lakini kizazi hiki cha technolojia na ukoloni hatuna hao watu tena badara yake tuna Dini za mapokeo ambazo kwetu sote tunaoamini kupitia hizo Dini za mapokeo tumeanishwa kuwa kupitia Misikiti...
  2. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Nahodha yupo chini, benchi la ufundi mnasemaje?

    Engineer soma hiyooooo...............! haya mwl Kashasha natumai wote tumekuelewa
  3. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Ikitokea mtu anamtisha Mbunge inabidi tutafute taarifa zake tumpost kwenye mtandao

    Kaka Peter Msigwa hili jambo naomba ulifanye wewe mwenyewe.
  4. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda amtaka Tundu Lissu kurudi Tanzania haraka sana

    Hawapendi kwa sababu Tundu Lissu anafanya kazi ya kuichafua nchi kwa hali na mali. Inamaana hujui ama mambo ya kujitekenya
  5. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nimepata taarifa kwamba kuna mkakati unaandaliwa wa kunivua Ubunge

    Mtu hukuulizwa siku zote kwa sababu ulikuwa unajulikana ni mgonjwa, kwa sasa Wenzie wako kazini yeye yuko anahangaika kuichafua nchi, afutiliwe mbali kabisa ili apate mda mzuri wa kufanya hayo mahubiri. asitengeneze propaganda za kipumbavu
  6. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nimepata taarifa kwamba kuna mkakati unaandaliwa wa kunivua Ubunge

    Leo katika hali isiyo ya kawaida, Mh Tundu Antipas Lissu amekuwa akisambaza waraka katika mitandao ya kijamii akituhumu watu kula njama za kumuondoa katika nafasi yake ya ubunge, Tundu Antipas Lissu sisi kama watanzania wenzio na pia makazi wa jimbo la singida mashariki tunakuomba urudi...
  7. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara waomba kununua korosho

    Hii inamaana gani? niko njiani naelekea huko ntarudi jukwaani ====== Mtwara. Wakati Serikali ikiendelea na mpango wake wa kununua korosho baadhi ya wafanyabiashara wameomba wanunue korosho hizo ili waendelee na ubanguaji katika viwanda vyao. Maombi hayo yamekuja baada ya Waziri wa Kilimo na...
  8. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania The Economist kuhusu Tanzania: Jarida linaona mapungufu tu kuihusu Tanzania!, Hivi kweli Tanzania hakuna mazuri yotote ya kuyaangazia?!.

    Mwenendo wa hivi karibuni wa jarida kongwe la "The Economist" kuchapisha habari za upande mmoja, kuongeza chumvi na kukosoa kila anaetoa maoni chanya ya mwenendo wa serikali au Rais JPM unatia shaka. Mfano ni makala yao ya hivi karibuni inayodai kuwa 'JPM anatengeneza mazingira ya hofu Tanzania'...
  9. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Kuilaumu Serikali kushuka bei ya korosho katika soko la dunia si sahihi

    Membe au lowassa? mzee wa mfipa
  10. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Hamasa za Rais katika kazi za kilimo imepelekea uzalishaji kuwa mkubwa na nchi kutokuwa na njaa ya chakula

    Msisitizo ambao umekuwa ukitolewa na Rais juu ya asie fanya kazi na asile umepelekea watanzania wote kuhakikisha wanalima mazao kwa ajili ya chakula pamoja na biashara, aidha kutokana mutikio kuwa mkubwa hali hii imepelekea uwepo wa chakula kingi nchini na hivyo wanunuzi wa vyakula kuwa...
  11. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Kuilaumu Serikali kushuka bei ya korosho katika soko la dunia si sahihi

    Zao la korosho linatumika na baadhi ya wanasiasa kama mtaji wa wa kuwarubuni wananchi kisiasa. Serikali ilipoamua kuchukua TAX leavy ambayo ilikuwa ikitumika na wanaojiita bodi ya korosho sambamba na wadau kadha wa kadha ndivyo sivyo na pia kuihamishia bodi hiyo chini ya usimamizi wa wizara ya...
  12. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Nyaraka: Muswada wa Sheria 'mpya' ya Vyama vya Siasa

    kaka naomba nikusaidie kwa mawazo mbadala..kifungu cha sheria kina kataza uanzishwaji wa vikundi vya ulinzi katika vyama vya siasa eg Green guard,blue Guard na Red Brigade kwa maana hiyo kuna vyama vinafanya matukio ya kiualifu kwa kisingizio cha walinzi wa chama ili hali wanavunja sheria za...
  13. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Nyaraka: Muswada wa Sheria 'mpya' ya Vyama vya Siasa

    watu kama nyie huwa mnasumbua sana kwa maandamano ya mitandaoni but hujaelewa Logic ya hivo vifungu vinavyopendekezwa nakushauli rudi prepo ukasome tena na uelewe vifungu pendekezwa then ndio uje kuchangia
  14. Mzalendo-Tz

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

    kwanza pole kwa hillo tatizo lakini pili napenda kutoa comment yangu kuwa hili ni fundisho kwa wanawake wote kuwa endapo ikatoka bahati mbaya mimba ikaalibika au kwa wale wauaji wa makusudi wajitahidi kufanya usafishaji mzuri kwenye matumbo yao tena kwa madaktari wenye taaruma ya maswala ya...
Back
Top Bottom