Recent content by mzalendo.com

  1. mzalendo.com

    Kama unaumwa na halafu unaota ndoto hizi na unatibiwa hospitali na hauponi jaribu njia ingine ya asili kujitibia

    Nilikua namuuguza mwanaume mmoja usiku akaniambia (majina ya watu) wamekuja hospitali wamefuata nini usiku..
  2. mzalendo.com

    Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

    Heshima ni bora kuliko ugali was fedheha
  3. mzalendo.com

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Napata shida kuamini kama kweli NBS wamechambua Yale majina ya watu walioomba mtandaoni au walioocha nakala kwa watendaji , MTU kaomba ukarani ila kapangiwa kwenda kufanya usaili wa Tehama.
  4. mzalendo.com

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Wilaya X sitaki kuiweka hadharani lakini kuna maajabu hayo.
  5. mzalendo.com

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Haya majina yaliyotoka wamechambua akina nani? Maana kuna vituko vingi sana. Kwa mfano rafiki zangu wana degree za IT ila hawamo kwenye shortlisted ya kwenda kufanya usaili ila mtu cheti cha short course za ICT jina lake limo..
  6. mzalendo.com

    Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

    Una video tusikie usije ukawa umeweka na chumvi...
  7. mzalendo.com

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Inapatikana duka gani Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mzalendo.com

    Maisha ya Mtumishi wa Serikali ni Magumu mno. Mungu aingilie kati

    waulize CWT si wanakukata pesa . Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mzalendo.com

    Ni ipi sababu ya Serikali ya Tanzania kuwafanyia watu wake mazingaombwe dhidi ya ugonjwa wa CORONA?

    Hatukujipanga kukabiliana na huu ungonjwa, serikali ingechukua hatua mapema tusingekua na mgonjwa hata mmoja tTanzaniaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mzalendo.com

    Magereza yafafanua kuhusu kauli ya viongozi CHADEMA waliotoka Segerea kwamba Waliteswa na kunyanyaswa

    Siasa ya Tanzania ni mbovu ni ya mabavu sio ya hoja na ushawishi.... Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mzalendo.com

    Majeshi ya Ulinzi, Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Majeshi ya usalama yana tofauti gani?

    Ni vizuri watu tukabishana kwa fact sio vitu vya kudhani ,weka mareference tuyaone. Ushawahi kuona MTU anafungwa bila ushaidi nadhani watalaamu wa sheria wanaelewa vizuri,Katika kutetea hoja yako tupe ushahidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mzalendo.com

    Majeshi ya Ulinzi, Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Majeshi ya usalama yana tofauti gani?

    Wanajeshi uchwara hasomi hata anachokilinda [emoji3][emoji3]. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mzalendo.com

    Majeshi ya Ulinzi, Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Majeshi ya usalama yana tofauti gani?

    Sura ya Tisa ya KATIBA ya Jamuhuri ya muungano ya Tanzania ,Ibara ya 147(4) Imeeleza vyema maana ya mwanajeshi. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom