Recent content by MYVoice

  1. M

    Mwenye uzoefu wa test zaTPB bank

    Greetings, TPB BANK PLC. is pleased to invite you to appear for an aptitude test for the post of Credit officer which will be held on Saturday 13th May, 2017 at TPB training centre along Sam nujoma road behind Mawasiliano Tower Dar es salaam. The test will start at 11.00am. Come with your ID...
  2. M

    Waziri Mkuu alivyopotoshwa Loliondo, Mkuu wa Mkoa Arusha atajwa

    Kuna habari za kupika lkn hii naunga mkono.Tatizo sijui kama mkulu ataelewa.
  3. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Ukatibu kata utapata subiri.
  4. M

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Umoja ni Nguvu, utengano huleta udhaifu. Mapambano haya yaendelea kwa umoja ili tuweza kumshinda Adui anayetaka kunyemelea Uhuru wa habari. Tuko pamoja Melo. Kazi inaendelea.
  5. M

    Yaliyojiri Mahakama ya Kisutu: Kesi ya ndugu Maxence Melo - Hatimaye apata dhamana

    Pole Max , dhamana uliyopata ndo mwanzo wa ushindi wako kwa kesi inayokukabili.
  6. M

    Yaliyojiri Mahakama ya Kisutu: Kesi ya ndugu Maxence Melo - Hatimaye apata dhamana

    Nguvu na ushindi huja pale uonevu na kupokonywa haki inapokea, hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho. Tutegemee wana Jf kupata nguvu na ushindi zaidi pale mambo haya yatakapofika mwisho kwali siku zote haki ya mtu huchelewesha lkn kamwe haitapotea. Max tuko pamoja.
  7. M

    Vote Now!!

    Jk
  8. M

    Vote Now!!

    Ikitokea nafasi ya kugombea uraisi kati ya Jpm na Jk kura yako Tampa nani??? Vote now!!
  9. M

    Kumbe Jakaya Kikwete ni kiongozi mzuri sana, haya hakuyafanya pengine ana sababu za msingi sana!

    Najiuliza ikitokea nafasi Magufuli na Kikwete kugombea uraisi kura yako Tampa nanii??? Yangu nampa Jk.Vote Now.
  10. M

    Siri yafichuka! CCM mwaka 2020 jiandaeni kupambana na huyu

    Possible January Makamba. Amekithi vigezo vyako.
  11. M

    Serikali ya Kenya yaanza mazungumzo Dangote, wametenga dolla milioni 100 kuhamisha kiwanda toka TZ

    Sishangai Dangote kuhamia Kenya the way mawaziri wetu wanafyochukulia hili jambo simple kwa majigambo kibao kwamba viwanda vingine vinazalisha. Bussiness people are After profit.
  12. M

    Forbes laandika kuhusu kufungwa kwa kiwanda cha Dangote Tanzania

    Bado hatujaambiwa ukweli kuhu su kufungwa kwa kiwanda hiki.
  13. M

    Mbowe na TANROADS, mita 30 kutoka barabara ya Machame mna maana gani?

    Kinachosikitisha zaidi hii n miezi ya kurudi nyumbani kwa hali hii tutafikia wapi???
Back
Top Bottom