Unaushahidi ya kuwa cdm wanapewa fedha toka mataifa ya nje? au umekurupuka ukaona usitoke JF bila kuandika ki2 leo?.. Rafiki ulionao wote ni wa dini moja? Mbona Vyuo,Shule, wafanyakaz wanaendelea na shughuli zao kila siku sijasikia watu wakipigana kwa sababu ya udini?. Au wewe unamaanisha nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.