Recent content by Myaim

  1. M

    Janjaweed wameua watu takribani 700 Sudan, mbona mko kimya?

    Hamna cha muislamu mweusi muache kudanganya halafu mumekariri si kila Mwarabu mwislamu cheki hao si waroma?
  2. M

    Janjaweed wameua watu takribani 700 Sudan, mbona mko kimya?

    Hizo propaganda Tu hamna kitu km hicho(janjaweed) nilitaka kuwatoa watu kwenye mudi na ili ionekane Israeli anachokifanya Gaza sio ttzo, huo ni upuuzi mtupu wa kuedit.watu ndio hawajui na vyombo vingi vya habari myahudi hupitisha uongo .anaishia kuua wananchi lakini Hamas anaua majeshi yake na...
  3. M

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Wanaolalamika hawajui hata UN iko upande wa Israel ila ni kudanganya umma kupitia vyombo vya habari, mbona alipopigwa Israel ndio ikaonekana Hamas gaidi, hizo ni njama Tu za UN na israel
  4. M

    Msaada, wapi wanauzaTela la power tiller?

    Hasante Sana Kwa singida wanachongeshea wapi?
  5. M

    Msaada, wapi wanauzaTela la power tiller?

    Wapendwa jf Kama kuna sehemu panauzwa tela used la power tiller 1.5tons naomba kufamishwa na bei yake
  6. M

    Nimetengeneza milioni 30 faida ya kilimo ndani ya miaka 3

    Hili group bwana Kila mtu anavyo jisikia. hivi kweli watu wote wana uwezo wa kuuza TV hata Mimi sina lkn napambana, hem watupe mchanganuo wa MTU wa daraja ya chin anapataje 30m Kwa miezi 6?
  7. M

    Reaper binder

    Asante Kwa ushauri ila wengine Sisi bado sio wazoef kuagiza nje na pia ttzo la mafundi kupatikana iwapo itaagizwa tofauti
  8. M

    Reaper binder

    Tatizo la muafrika ni dharau.huwezi kutaka cha juu sana wkt hujafika
  9. M

    Reaper binder

    Nina sehemu mbili Bukoba na igunga
  10. M

    Reaper binder

    Samahn mkuu nilikusudia ya kwangu mwenyewe nahitaji msaada napata WP?
  11. M

    Reaper binder

    msaada jamani ndugu zanguni wataalamu wa kilimo. nahitaji mashine ya kuvuna mpunga inaitwa power reaper bainder(inavuna nakufunga bando yenyewe)napata wapi na bei ? km inavyoonekana kwenye picha:
  12. M

    Ufahamu umwagiliaji wa matone (drip irrigation system)

    Hamna haja ya kupika udongo ?au mazao yote yanakubali popote Kwa Kua ni drip system?
  13. M

    Power tiller special thread

    Nashukuru Kwa ushauri
  14. M

    Power tiller special thread

    Msaada;Kwa Uzi mzuri km huu naomba kuuliza hivo Siam Kubota (Japan) zipo zenye kiti cha kukalia wkt operator anachapa mzigo(kulima) Shannan?
Back
Top Bottom