Mungu aliekuponya ndo anaejua dhamira yako dhabiti ya kutaka suruhisho, endelea kuwaombea wazaz wako maisha marefu yenye afya na endelea kumuomba Mungu awape mapatano,mana km juhudi za wanadamu zimeshindikana nani mwingne awezaye km sio Mungu?!
Amini brother,hii ndo dizain ya ndoa ambayo me naitaka,namsikiaga na baba Levo pia ndo kitu anachoamini sema Mama Ruby hataki kubak ndan hata akipewa kila kitu
Ushaur wangu kwa wanaume km unaweza oa mwanamke mwny nidham na mapenz kwa familia mengne ya uzur utayatafuta kwa michepuko uko (though simaanish mke wako awe mbovu hapana) then muweke ndan awe available any time ukiwa unarud ,pia km anapenda kutoka at least once in a month mnapumzika mnaenda...
Role model wangu kwny maisha ni bro wangu wa kwanza asee Mungu ni mwema kaoa manz yake wa zaman ambae ni form four graduate hakuendelea tena, she's at home now bro kampeleka cooking schools hiz asa iv she's working from home anapika Kila kitu ,anakula kitu home anachohitaj kwny mapish yake ya...
M
Mimi sio mmoja wa watu ninaoamini katika ugomvi,mifalakano ama kutokuelewana kwa wanasiasa,mana atakaeumia ama kufaidika ni mnufaika wa mwisho ambae ni sisi wananch,so kama wamepatana na kukubaliana kilichobora kwa manufaa ya wananch wa Luhaga then acha iwe ivyo
Sisi tuliokubaliana na kuamini katika haya maandamano Cha kufanya ni kupuuza tamko la hao polisi na kuendelea kujiandaa na iyo 23rd , serikali inaongozwa na kichwa Cha mwendawazimu unategemea polisi wasemaje
Kuna haja Safina la Nuhu kujengwa upya gharika lingne lije,uzao mpya uje tuone na wenyewe utakua na maajabu gan mana kwa hiki kizazi chetu kimeshindikana
Sio kila unachotamani kitakua,akili za wanawake bhana eti natamani kuwa mchepuko km vile jamaa bado anamuwazia,utakua na majuto mangap ewe mwanamke,leave the past where it belongs move on kuna neema yako mbele acha kuwaza ujinga
Km alikua na wanawake wengne kumuacha ulikua ni uamuz sahihi,so we...
Naomba kukana kutumika kwa hii tathmini yangu ninayoenda kuisema hapa bali ni kwa uhuru wangu wa kutoa maoni na utimamu wangu wa kuweza kuona na kutambua mema na mabaya.
Ni hivi wakuu, mimi kwa ufatiliaji wangu wa utendaji kazi wa RC Makonda tangu aanze majukumu yake km Mkuu Wa Mkoa wa Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.