KUWA CCM KAZI JAMANI DAH!....ANDIKA ALICHOONGEA DOKTA NA WALICHOONGEA WENGINE THEN NDO TUANZE KUCHANGIA CO UNAANDIKA2 THEN UNAZNGUA....PUNGUZA NJAA KAKA NAPE....unajitia aibu.
Hivi wanasheria wote wale wakakaa...wakajiridhisha kwamba kuna tatizo...THEN SOME BODY ANAKUJA NA KUVIKOSOA VICHWA VYOTE VILE.....tukiuliza taaluma yake cjui atatuambia ukwel au atadanganyaaa!
Kama mnajua kuna bunge kwanini msingesubiri utaratibu kabla ya kuanzisha hilo?...mkajifanya ni dharula....ni kwa ajili ya kampeni 2014/2015 huo ndo ukweli japo mchungu....hamumpati mtu ccm na ndo mana mwanakijiji kaamua kubaki huko....me pia ingekuwa na uwezo hili li nchi ni la kulihama tu hadi...
IDI AZAN weeeeee afu mwezi huu nae kafunga anasubiri siku afuturishe.....kama sio kumdhihaki mungu ni nin?.....serikali hakuna itachofanya ila angekuwa mwngine tsatsaaa...haya bwana RAMADHAN KAREEM MH AZAN.
Kweli kuna kitu tunaita kutetea ugali wa watoto bt kaka nawe UGALI WAKO UNAUTETEA VIBAYA....njaa njaa gani NAPE?......kafungue mashtaka si una ushahidi?
Kijanaaaaaaaa jeuri ya madaraka eenh?....kama kauli ulishaongea nyingi sana chafu xo mazingira yanakubana2 mkuu huna pa kutoke UMEKOSA ADABU KWA MENGI2 NA SIO HILI LA WAZEE PEKEE....NA TUTATEGEMEA KUSIKIA YA UPUUZI MENGI TU UKIENDELEA KUWA NDANI YA CCM....tunasubiri jingine.
Ufaransa unapoomba kazi huwa wanapendasana uandike barua ya maombi kwa mkono....sababu ni kwamba uandishi wa mtu huonesha tabia zake...huyo jamaa simjui na sijawahi mfuatilia bt the way anavyoandika sipati shida kujua ni mtu wa aina gani pia najua kama uongozi kitaifa basi kapewa kwa kigezo...
Maskini mteraaaaa....afu hawa ma ccm wasijifanye haya majimbo ni ya ukoo..eti katoka baba aje mtoto kama arumeru mashariki -------,lusinde ni hovyo bt mtoto wa malechela atafute kwngine naeeee kha!!!!!!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.