Habarin wadau.., Nmekuwa nkikerwa na mada zinazoletwa hapa na watu wasiojua chochote zikiwaponda dada zang wa kchaga. Kwanza kabisa niweke wazi kuwa mimi ni Mbena wa huko Njombe. Kwangu mie kabila co tatzo, ktk kushow upendo cchagui kabila, nshamchumbia mtt wa kchaga kutoka huko Rombo na...
Hongera sana mkuu, umeonyesha upeo mkubwa sana wa kujib hoja. Nafkr mleta mada atajuta kwnn kaileta mada hyo. Kwamba Ccm ni chama cha matajr! Bac mackn na waachwe wakalikomboe taifa lao kuptia chama chao pendwa{CHADEMA}
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.