Hata ww ukienda Zanzibar ukiomba utambulisho wa mzanzbar mkaazi unapewa bila kusita kama tu umekidhi vigezo Iła haiondoi sofa ya wa kuwa mtanzania kuna haki zinakosekana tu Kwa raia kama hana utambulisho wa uzanzibari ikiwemo baadhi ya kazi
Kwa uzoefu wangu mm wa niliezaliwa na kuish Zanzibar mtu yeyote ambae ni mzaliwa wa Zanzibar ama ameshaishi zaidi ya miaka mitano bać tayari ni mzanzibar na ana haki ya kupewa kitambulisho cha mzanzibar mkaazi regardless wazaz wake hawaishi Zanzibar sijajua kwenye siasa ipoje Iła kwa Hussein...
Yeah mchawi ni pesa tu iwe kijijin iwe mjini anapata na kama hataki stress zaid atafute wazee anaojuana nao vijijin kuwaomna kua anahitaj mke wazee waingie kazini wakiona ana maisha mazur na tabia njema atataftiwa mke wa chaguo łąkę manake mzazi akijua mtoto wake haendi kuhangaika njaa wala...
Shukran na pole kwa yote pia kwa Ushaur kata mawasiliano na mercy ufanye umsahau ili usonge mbele
Chengine nifundshe kutumia hii version mpya ya JF kiukwel inanisumbua sana ingawa mimi ni mpenz tu msomaji wa JF sio mchangiaji sanaaa ila nowadays napata shida nikiclick quote sion option ya type...
Mbona hujamaliza story unatuacha na masual
Toka Muda huo upo single ama umekutana na mwengne
Umepata kaz au hujapata na mercy kazi amepata
Km una demu kwann uendelee kuwasiliana na mercy km huna je hujapata ama umedecide ku cool off kwnza au ndio umechukizwa
Na je mahitaj ya mtoto doctor...
Zina kazi kuzitambua kwa macho hasa kwenye picha na hatujui zilkuwa za bei gani hizo zako manake sio non stick zote zina teflon kama uko na box zake uangalie wwmeandikaje details za kutumia hasa kwnye temperature za teflon sana zinakua na limit ya heat kwenye kupikia je uko na box tuone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.