Recent content by Mwosha Maiti

  1. M

    JamiiForums Tanzania kiswahili

    Hapo anaangalia vipengele anuwai katika upande wa fani. Mfano: muundo, mtindo, matumizi ya lugha; kama methali, nahau, misemo, kuchanganya msimbo/ndimi, tamathali za semi, wahusika na uhusika, vina na mizani, idhini ya kishairi (poetic license) nk. Vipengele vyote hivi vikiteuliwa kwa ufundi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta na usahihi wa jina lake.

    Asante kwa historia nzuri ila hata wewe umepotosha jina lake. Anaitwa Amri Abedi Kaluta sio Amri Abeid.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ushairi

    ZIMWI LA DAR! Kwanza naanza kwa dua, Yarabi nisimamie, Moyo nakuinulia, roho wako nivuvie Hekima busara pia, nazo unikirimie Pamwe na Watanzania, yao nchi watetee Zimwi limeteka Dar, limejivika fahari. Liwalo sasa na liwe, leo nabwaga manyanga Nimechoka kuwa mwewe, kutwa ubawa kukinga Kisa...
Back
Top Bottom