JamiiForums Tanzania
Ushairi
ZIMWI LA DAR!
Kwanza naanza kwa dua, Yarabi nisimamie,
Moyo nakuinulia, roho wako nivuvie
Hekima busara pia, nazo unikirimie
Pamwe na Watanzania, yao nchi watetee
Zimwi limeteka Dar, limejivika fahari.
Liwalo sasa na liwe, leo nabwaga manyanga
Nimechoka kuwa mwewe, kutwa ubawa kukinga
Kisa...