Mzee hapa mbona ulilikoroga mwenyewe mapema tu...yani Ghorofa la vyumba 6 na watoto ni wakubwa uko serious au umeandika tu kuchangia mada?..
Alafu unamwambia kijana wa miaka 25 - 30 ambaye hana hata mtoto ajenge vyumba viwili?
Mkuu...kweli Duniani wawili wawili...
Nilitaka kuanzisha uzi wa namna hii tofauti ni eneo tu....mimi eneo ni Dar huku...kiwanja ni Flat labda wataalam waje watoe makadirio kuna mmoja kasema hapo naishia kwenye msingi ramani hii hapa.
Sio hivyo mkuu..inategemea na Mipango yako.
Kwa ulivyo sema ni kama mtu ana malengo ya kupokea gawio kwa mwezi.
Wapo wenye malengo ya kusave kiasi mwezi ndani ya Miaka mfano 5, 10 n.k hawa nao wanafaidika kwa nafasi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.