Recent content by Mworia's Inc

  1. Mworia's Inc

    Sijaelewa nini kimetokea!

    Siti ya mbele kabisa...ngoja waje
  2. Mworia's Inc

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Mzee hapa mbona ulilikoroga mwenyewe mapema tu...yani Ghorofa la vyumba 6 na watoto ni wakubwa uko serious au umeandika tu kuchangia mada?.. Alafu unamwambia kijana wa miaka 25 - 30 ambaye hana hata mtoto ajenge vyumba viwili?
  3. Mworia's Inc

    Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Mkuu...kweli Duniani wawili wawili... Nilitaka kuanzisha uzi wa namna hii tofauti ni eneo tu....mimi eneo ni Dar huku...kiwanja ni Flat labda wataalam waje watoe makadirio kuna mmoja kasema hapo naishia kwenye msingi ramani hii hapa.
  4. Mworia's Inc

    Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Mkuu acha woga vuta hata 15M hapo hutojutia...tena ukipata mikopo ya wafanyakazi hii mbona unaenjoy kabisa nyumba unaiona ileeee...
  5. Mworia's Inc

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Kujenga nyumba kubwa kuliko uwezo una define vipi hii? Utajuaje kama uko kwenye hii spot?
  6. Mworia's Inc

    Je, LBL sio Matapeli kama Matapeli wengine?

    Vijana wa namna hii wana mchango mdogo sana kwenye hili Taifa
  7. Mworia's Inc

    Mrejesho wa kujiunga UTT Amis na Changamoto za UTT AMIS mobile App

    Sio hivyo mkuu..inategemea na Mipango yako. Kwa ulivyo sema ni kama mtu ana malengo ya kupokea gawio kwa mwezi. Wapo wenye malengo ya kusave kiasi mwezi ndani ya Miaka mfano 5, 10 n.k hawa nao wanafaidika kwa nafasi yao.
Back
Top Bottom