Taarifa ya CAG kuhusu NSSF imetoka.
Taarifa hiyo ya Ukaguzi uliofanywa na kampuni ya Ernest and Young pia imeorodhesha Wajumbe wote wa Bodi akiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
CAG ametoa hati safi isiyo na suala lolote la msisitizo kwa NSSF. Mwenyekiti wa bodi ya NSSF wa sasa, Prof. Sam...
Nimesikiliza Video inayosambaa kwa Kasi Mtandaoni inayomuonyesha Karani na Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka akiwatuhumu Edward Lowassa wa CHADEMA na Zitto Kabwe kiongozi wa chama wa ACT WAZALENDO.
pamoja na kumsikiliza zaidi ya mara tatu lakini sipata kuelewa alikuwa anajaribu kumaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.