Recent content by mwobho

  1. M

    Tetesi: Jaji Mutungi katika kashfa ya kutafuna milioni 668

    shamba la bwana heri na mbuzi wa bwana heri
  2. M

    Mtatiro,CHADEMA; Tatizo la CUF sio Mutungi,Tatizo ni Katiba ya CUF

    Mkutano wa Blue Pearl wote tuliona bwana. Unawezaje kumzuia kuingia Mkutanoni mtu ambaye zaidi ya 70% ya wajumbe wanamuhitaji aje kujieleza? .
  3. M

    Mtatiro,CHADEMA; Tatizo la CUF sio Mutungi,Tatizo ni Katiba ya CUF

    Nafikiri analenga kuyamaliza kiungwana
  4. M

    Ripoti ya Mkaguzi NSSF na Maoni ya Kamati ya Bunge (PAC)

    mambo yote sasa hadharani
  5. M

    Kwanini CCM na CHADEMA wanaweweseka kivuli cha Zitto Kabwe?

    unao ushahidi wa ripoti za CAG au taarifa ya NSSF kwa PAC?
  6. M

    Kwanini CCM na CHADEMA wanaweweseka kivuli cha Zitto Kabwe?

    utetezi imara unatakiwa uwaje?.
  7. M

    Kwanini CCM na CHADEMA wanaweweseka kivuli cha Zitto Kabwe?

    hahaha. watakuvamia mkuu
  8. M

    Ripoti ya Mkaguzi NSSF na Maoni ya Kamati ya Bunge (PAC)

    Taarifa ya CAG kuhusu NSSF imetoka. Taarifa hiyo ya Ukaguzi uliofanywa na kampuni ya Ernest and Young pia imeorodhesha Wajumbe wote wa Bodi akiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali. CAG ametoa hati safi isiyo na suala lolote la msisitizo kwa NSSF. Mwenyekiti wa bodi ya NSSF wa sasa, Prof. Sam...
  9. M

    Ole Sendeka, walipeni Uhuru mishahara kwanza, achaneni na Zitto na Lowassa

    H Watafute keko madukani pale naonaga bendera zao.
  10. M

    Kwa aliyosema Ole Sendeka leo, Zitto tupe majibu!

    Nimesikiliza Video inayosambaa kwa Kasi Mtandaoni inayomuonyesha Karani na Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka akiwatuhumu Edward Lowassa wa CHADEMA na Zitto Kabwe kiongozi wa chama wa ACT WAZALENDO. pamoja na kumsikiliza zaidi ya mara tatu lakini sipata kuelewa alikuwa anajaribu kumaanisha...
Back
Top Bottom