Recent content by Mwl Philemon

  1. Mwl Philemon

    Mashabiki wa Arsenal: Mafanikio ya Klabu Hayaji Kwa Bahati

    Tuwe Wakwelii... Luis Enrique ametumia karibu kiasi sawa cha pesa ndani ya miaka miwili pale PSG kama ambavyo Mikel Arteta ametumia katika kipindi cha miaka sita pale Arsenal. Lakini kuna tofauti kubwa sana kati ya mazingira yao wawili: Enrique alirithi kikosi kilichojaa wachezaji nyota...
  2. Mwl Philemon

    Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

    Machawa wamejikita kusifia mtu ambaye hakutoa jasho leo. Wamejikita kumsifu Shibiki mwenzetu, mzalendo mwenzetu. Mimi naelekeza sifa zote kwa wavuja jasho wetu waliokuwa wakisimamiwa na wataalamu Hemed Morocco Juma Mgunda Jamhuri Julio Kiwelu Na Nahodha wa jahazi akiwa Mbwana Samata...
  3. Mwl Philemon

    Chama cha walimu na maslahi ya Mwalimu

    CWT ni chama cha walimu kama kinavyojipambanua na kujitangaza siku zote za uwepo wake. Zaidi kinatangazika kwa sifa ya kutetea maslahi ya Mwalimu, haki na kumpigania mwalimu ili apate mazingira mazuri ya kazi. Nafikiri imefika wakati sasa kama chama kijitathmini hasa kuhusu kazi yake na gharama...
  4. Mwl Philemon

    Ushabiki wa Simba na Yanga wageuka uadui

    Hongera kwa kupanga nyumba nzuri. Sisi tunaishi kwetu hata kama pangoni.
  5. Mwl Philemon

    Ushabiki wa Simba na Yanga wageuka uadui

    Kama haikuhusu unaifuatilia ili iweje?
  6. Mwl Philemon

    Ushabiki wa Simba na Yanga wageuka uadui

    Wewe unasimamia wapi?
  7. Mwl Philemon

    Ushabiki wa Simba na Yanga wageuka uadui

    Wewe unasimamia wapi?
  8. Mwl Philemon

    Ushabiki wa Simba na Yanga wageuka uadui

    Kwa yanayoendelea sasa kwenye mpira wetu ni ujinga na upumbavu mkubwa kuoneshwa na wapenda maendeleo ya michezo hususan huu mchezo pendwa wa mpira wa miguu. Ndani ya siku tatu kumekuwa na matukio yasiyo ya kuvutia kwa wanamichezo wa kweli. Lilianza la Ali kamwe kumshambulia kwa maneno ya kejeli...
  9. Mwl Philemon

    Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa

    Babu wa Loliondo alisha lisema hili kabla ya umauti kumfika
  10. Mwl Philemon

    Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

    Hawa wachezaji wamelegea kuliko hata Waarabu. Viongozi acheni kutumia pesa yetu hovyo hovyo kutuletea wachezaji nyoronyoro hawa. Kweli naanza kuamini kwenye ligi kuna kununua matokeo.
  11. Mwl Philemon

    Mimi nilidhani kwenye Upuuzi ni kule Simba SC tu kumbe hata huku kwa Yanga SC ndiyo kuna Upuuzi zaidi?

    Kabla ya kuja Yanga Nabi alisimama dhidi ya simba akiwa al Hilal ya Sudan katika sare ya bao 0-0. Vyeti walimpatia wao?
  12. Mwl Philemon

    Soka letu kivyetuvyetu.

    Wangemtambulisha kuwa kocha wao moja kwa moja isingekuwa tatizo.
  13. Mwl Philemon

    Soka letu kivyetuvyetu.

    Hata Simba kujiita timu kubwa halafu kufanya upuuzi kama huu, wanatia mashaka kidogo kwenye weredi wao. Hawajui wanachotaka TFF.
  14. Mwl Philemon

    Soka letu kivyetuvyetu.

    Kocha mmoja kufundisha timu mbili ligi moja kwa wakati mmoja kivyetuvyetu. Timu kukosa golikipa na kumtumia mchezaji wa ndani kama kipa kivyetuvyetu. Kosa moja kutendwa na watu wawili wanaosimamia na mtu mmoja mwingine akaadhibiwa na mwingine kuachwa kivyetuvyetu. Halafu anakuja mtu mmoja...
Back
Top Bottom