:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:...Mh!
Katika majadiliano yaliyoendelea leo asubuhi ndani ya mjengo kule Dodoma kunako bunge la katiba, katika hali isiyotegemewa, kiongozi wa muda mrefu ambaye ni mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi, mh. Capt. John Komba leo hii ametoa kauli...
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema ambaye alivuliwa ubunge wa jimbo hilo kwa tuhuma za kutoa lugha za matusi na za kibaguzi, leo hii amerudishiwa nafasi yake ya ubunge wa Arusha mjini baada ya rufaa yake kuwa na mashiko. Hukumu hiyo imetolewa leo hii katika mahakama ya rufaa...
Jana mtuhumiwa namba moja wa mauaji ya mwandishi wa habari wa channel ten David Mwangosi, PC PACIFICUS CLEOPHASE SIMON(23) alifikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka yanayomkabili. Hata hivyo mtuhumiwa hakutakiwa kujibu chochote kwa kile kilichodaiwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa...
Jana waandishi wa habari katika maeneo mbalimbali ya nchi waliandamana kulaani mauaji ya mwandishi wa habari Daudi Mwangosi yaliyotekelezwa hivi karibuni na jeshi la polisi mkoani Iringa lililo chini ya wizara inayoongozwa na waziri Emanuel Nchimbi.
Katika jiji la Dar es salaam, maandamano hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.