Recent content by Mwl.Kaijage

  1. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe awabeza UKAWA na kuwaita "Wasaka Tonge"

    Wewe umewaita Wasaka Utawala yaani Wasakatonge,Mimi Nawaita UKAWA ni wachumia tumbo. Tena wengine wenye midomo michafu wamesema umeteleza,Mimi nasema umewapa elimu ya bure tena wamekuelewa bali wanajihami tu baada ya kuonekana ni Wasakatonge tu yaani wachumia tumbo. Leo wanagawana vyeo eti Rais...
  2. Mwl.Kaijage

    Taarifa kwa umma kutoka makao makuu ya ACT-Tanzania

    ACT-TANZANIA ni nguvu ya Wazalendo.
  3. Mwl.Kaijage

    Taarifa kwa umma kutoka makao makuu ya ACT-Tanzania

    Maazimio ya Mkutano wa Tatu wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT-Tanzania Uliofanyika Jumamosi Tarehe 25 Oktoba 2014 katika Hoteli ya Vina Jijini Dar es Salaam Kamati Kuu ya ACT-Tanzania ilifanya mkutano wake wa tatu siku ya Jumamosi tarehe 25 Oktoba 2014 katika Hoteli ya Vina Jijini Dar es Salaam...
  4. Mwl.Kaijage

    Ushauri kwa ACT na pongezi kwa CHADEMA

    Hivi ni chama gani chenye hati miliki ya kufanya siasa hapa nchini eitha kuwa chama tawala au chama/vyama vya upinzani?
  5. Mwl.Kaijage

    Ushauri kwa ACT na pongezi kwa CHADEMA

    Mbona haujengi hoja bali unaishia kulalama@Skillionare
  6. Mwl.Kaijage

    Soko kuu Urambo lawaka moto

    Soko kuu la Urambo Mkoani Tabora linazidi kuteketea kwa moto muda huu,chanzo cha moto huo ni shoti ya umeme ambayo imetokea katika soko hili, mpaka sasa hakuna kikosi cha zima moto wala askari polisi aliyefika katika eneo la tukio, japo wananchi wanajaribu kuuzima moto pasipo na mafanikio.
  7. Mwl.Kaijage

    Maandamano Mahakamani-Makao Makuu; kauli ya Mdee kutokea Segerea

    UKAWA WAMMWAGIA MAPESA JAJI WARIOBA ILI ASIHUDHURIE SHEREHE ZA KUKABIDHIWA RASIMU PENDEKEZWA KWA JK NA SHEIN. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba na wajumbe wake hawatahudhuria sherehe za kukabidhiwa Rasimu ya Katiba pendekezwa mjini Dodoma.Taarifa zimebainisha kuwa...
  8. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe apewa tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii

    Mtatengeneza sana uongo!! Huwezi kuwadanganya watu wote kwa muda wote!! Bali mtawadanganya wachache kwa muda mchache.Hongera Mwami Ruyagwa ZITTO KABWE.
  9. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe apewa tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii

    Mtatengeneza sana uongo!! Huwezi kuwadanganya watu wote kwa muda!! Bali mtawadanganya wachache kwa muda mchache.
  10. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe apewa tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii

    Aliye pewa kapewa na mwenyezi mungu hata wanafiki Chadema wafanye nini hawawezi kuzima nuru ya Mwami Ruyagwa ZITTO KABWE.
  11. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe apewa tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii

    Aliye pewa kapewa na mwenyezi mungu hata wanafiki Chadema wafanye nini hawawezi kuzima nuru ya Mwami Ruyagwa ZITTO KABWE.
  12. Mwl.Kaijage

    Katibu Mwenezi na Mwanasheria wa ACT live ktk Baragumu - Okt 6, 2014

    Tunajua wewe unakwenda kwenye kazi yako ya Maandamano.
  13. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe apewa tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii

    Tangu alipotunukiwa na Wananchi.
  14. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe apewa tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii

    Hongera Mwami Ruyagwa ZITTO KABWE.
  15. Mwl.Kaijage

    Zitto Kabwe apewa tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii

    MBUNGE wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe, ameibuka mwanasiasa wa kwanza barani Afrika kutwaa Tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii, imefahamika. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Umoja wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ya Nchi za Afrika Mashariki na Kati (ECASSA) Mhe...
Back
Top Bottom