Recent content by MWITA BUGONGO

  1. MWITA BUGONGO

    Hizi kamati za bunge, yametimia

    HEBU FAFANUA KILICHOTOKEA
  2. MWITA BUGONGO

    Saed Kubenea: Mbunge wa Ubungo aliyegeuka mkombozi wa Taifa

    KUBENEA ENDELEA NA JUHUDI HIZO
  3. MWITA BUGONGO

    UKAWA: Katiba Mpya inatengenezwa kwa Mtutu wa Bunduki! Nchi sasa inaendeshwa kijeshi...

    KATIBA MPYA INATENGENEZWA KWA MTUTU WA BUNDUKI!!! Hali ya kisiasa katika nchi yetu kwa sasa ni tete kwa kiasi kikubwa. Nchi yetu sasa iko chini ya utawala wa kijeshi usiokuwa rasmi. Kila mahali katika makao makuu ya mikoa, wilaya na majimbo, askari wa Jeshi la Polisi wakiwa na mabomu na...
  4. MWITA BUGONGO

    CCM yahofia kuondolewa madarakani 2015 kwa kigezo cha rasimu ya katiba

    ccm lazima watueleze pesa zetu wanazokula ili hali wakijua hawapati theluthi 2
  5. MWITA BUGONGO

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Serikali 3 haziepukiki hata kama mkipitisha hiyo nya bungeni tutaendelea kudai katiba mpya hasahasa kwa mtu anaetegemea kugombea urais aweke sera ya katiba mpya kwenye ilani yake vinginevyo hatapita
  6. MWITA BUGONGO

    Haya ndo yanayiendelea bunge la katiba

    Tuko Dodoma kula posho tu - Mjumbe Rasimu ya Katiba Mpya Na Habel Chidawali, Mwananchi Posted Ijumaa,Agosti22 2014 saa 11:7 AM KWA UFUPI “Nawakumbusha watu kufuta matumaini ya kupata Katiba Mpya, kinachojadiliwa hapa ni mambo ya kulazimishana kila upande, sisi wengine tunaona bora ya...
  7. MWITA BUGONGO

    Kinana atajwa kukwamisha mpango wa UKAWA na CCM kufikia muafaka

    KATIBU mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Abdulrahman Kinana Ametajwa kuwa ni mtu anayekwamisha kupatikana kwa muafaka kati ya Wajumbe wanaounda Umoja wa Kutetea Katiba ya Wananchi UKAWA na Chama cha Mapinduzi CCM,baada ya kupanga mpango wa kuwazuia Wajumbe wa UKAWA,kutoonana na Rais Jakaya...
  8. MWITA BUGONGO

    msingi wa katiba mpya

    Msingi wa Katiba Mpya Kuanza kwa mchakato wa mabadiliko ya Katiba kuna historia inayotokana na kumbukumbu ya michakato mitatu iliyokwama, Harakati hizo zilianza kujitokeza tangu mwaka 1992 kupitia Tume ya marehemu Jaji Francis Nyalali.Tume hiyo ilikuwa chini ya Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi...
  9. MWITA BUGONGO

    Kikao cha CCM, UKAWA chavunjika

    Wewe thatha tumia hata akili ya kuzaliwa kujiuliza kwanini ukawa walitoka au hujui
  10. MWITA BUGONGO

    Polisi wasambaratisha mkutano wa CHADEMA wa Uchaguzi kata ya Moshono, Arusha

    nina imani police mwisho wao utafika tu wa kutumika na ccm
  11. MWITA BUGONGO

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Uchambuzi wangu

    Umefanya kazi yako leo utakula vizuri maana buku saba leo lazima upewe.
  12. MWITA BUGONGO

    Ukawa na tatizo la katiba ya vyama vyao

    Ukiwa ccm huna uwezo wa kufikiri
  13. MWITA BUGONGO

    Mustakabali wa elimu yetu wadau wa elimu

    Siku zote wadau wa elimu nimekuwa nawaambia kuwa shule yoyote inayokimbilia kuchuja wanafunzi kwa kisingizio cha uelewa mdogo wa wanafunzi wao wanawakosea adabu wazazi na wanafunzi hao . Hivi ni kweli kwamba mwalumu mzuri kazi yake ni kufundisha wanaojua tu ? na je shule za kata nani...
  14. MWITA BUGONGO

    Hongera Hamphrey Mpolepole, umetufumbua macho vijana

    Hongera sana polepole kwa umahiri wako
  15. MWITA BUGONGO

    Dk Salim afichua siri ya JK na Tume ya Warioba

    Dar es Salaam. Waziri Mkuu Mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema hakutarajia kusikia kauli za Rais Jakaya Kikwete alizozitoa bungeni kukosoa Rasimu Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa sababu walikuwa wanampa taarifa kwa kila hatua waliyokuwa wanafikia kabla ya kutoa rasimu hiyo. Dk Salim alitoa...
Back
Top Bottom