Uko sahihi mkuu ona kama Dodoma yaani ni upuuzi mtupu ....Dar ndio usiseme fika pale mwanyamala kwa kopa unaweza kupitapita vichoro ukajikuta unaingia chooni
Vyeti havina mantiki kaka hatutaki vyeti tunataka practical ....hata ukiwa Na vyeti utendaji wako ukiwa hovyo ni sawa Na O tu ..walio na vyeti wengi ni hovyo tu hawaajiriki yaani hawana weledi
Leo mwenyekiti wa chadema huko Tabora kawataka wanachadema na watu woote kuungana na Rais Magufuri katka harakati zake za hapa kazi tu je nayeye afanyweje? Siasa iko tumboni mwako tu mkuu
Umemnukuuu vibaya Rais kaseme kama ...wapo dar au mbinguni ..hajasema wapo mbinguni ..narudia tena kasema kama...maana ya kusema kama yaani hana uhakika wapi waliko....
Tupo pamoja ktk hili mara nyingi tu tumeona wakimaliza miradi mbalimbali kisha inakaa miaka kenda bila matumizi ...mi nilienda kijiji kimoja nikakuta kituo cha afya kimeisha na kina miaka zaidi ya mitatu hakijaanza kufanya kazi mpaka leo.......ngoja ngoja...yaumiza.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.